Kwa wajuzi wa Sheria. Naomba ufafanuzi kuhusu hili suala la mke kumfungulia kesi mume wake

Kwa wajuzi wa Sheria. Naomba ufafanuzi kuhusu hili suala la mke kumfungulia kesi mume wake

Kwa hiyo kwa maelezo mafupi tu haya umekamilisha ushahidi kua alimpiga mke wake?

Tuna watafsiri sheria wa hovyo Sana nchi Hii hamuishi kuamua Mambo kwa hisia na kuweka taaluma pembeni tangu muamue kua watetezi wa haki za kijinsia basi lengo kuu limekua kumsapoti mwanamke kwa kumkandamiza mwanaume hamuhitaji ushahidi wa kutosha kuamua kesi mnakurupuka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndicho nilichomuuliza hapo mwanzo mwanzo tu assume ndo mm sasa mlengwa angetafuta yy mashahidi wa kuthibitisha kuwa mm nilimpiga mke wangu maana hakuna hata sehemu moja niliyoandika mke kapigwa, au ilimradi tu mwanamke akikimbilia mahakamani kuwa amepigwa na mwanamke basi basi kinachofuata ni mwanamme kuhukumiwa bila kuwa na ushahidi?
 
nahitaji tofauti ya kugombana na kupigana?
Kugombana ni quarrel (kupishana Maneno, kutumia maneno ama matamshi ya ukali ) kupigana ni fighting .. Hivi shule mlienda kusomea ujinga!!
 
Mkuu hilo la kumpiga chini halina mjadala ila tu jamaa anachowaza ni namna gani au ni kwa vp hio kesi ilivoo kaa polisi na namna ya kuimaliza

Ulivyokua unampiga hukufikiria hayo, wakufunge kabisa ukapigane jela.
 
Back
Top Bottom