Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyoo hapa boda nikipita nayoo poa iko na kila kitu longbook na barua ya chifu wa huku niliponunuaWe pita nayo boda hapo utachukua temporary permit ukishsfika huku tuliza kichwa siku mbili Angalia connection ya kupata permanent....
Watakuja.
Nenda nayo mana sisi ni East Africa Kuna mambo hayawi complicated ila muhimu ni documents zote uwe nazo na hela sijui sh ngapi ila sio kubwa ukate hyo. Temporary..Kwaiyoo hapa boda nikipita nayoo poa iko na kila kitu longbook na barua ya chifu wa huku niliponunua
Ok hiyoo nimeelewa kaka kila kituu kipoo nilikuwa naturalisation nijee nyumban na hiyoo piki pikiNenda nayo mana sisi ni East Africa Kuna mambo hayawi complicated ila muhimu ni documents zote uwe nazo na hela sijui sh ngapi ila sio kubwa ukate hyo. Temporary..
We pita nayo boda hapo utachukua temporary permit ukishsfika huku tuliza kichwa siku mbili Angalia connection ya kupata permanent....
Watakuja.
Endesha mpaka sirari au Namanga au Horohoro. Lazima pikipiki yako iwe na karatasi halali za kuimiliki to ka serikali ya Kenya. Hapo Mpakani watu wa TRA, wataithamini na kukwambia ni kiasi gani unatakiwa kulipia kama import duty. Utatumia risiti hizo kuja kuisajili huku Tanzania na kupewa namba za MC...xyz.Ni hivii mimi ni mtanzania kabisa sasa niko kenya huku na nimebahatika kupata pikipiki sasa nautaji kuja nayoo home Tanzania 🇹🇿 je utaratibu ukoje au niuze nije na pesa tuu heri ya mwaka mpya 2025 members wotee
Kuna Uzi humu walielezea km una vuka na vehicles border km hzo Inakuaje mana n karibu tu hapo.Ok hiyoo nimeelewa kaka kila kituu kipoo nilikuwa naturalisation nijee nyumban na hiyoo piki piki
Niko nairobi ninaprani nipite boda ya loitoktokit iko tarakea rombo kiongoziEndesha mpaka sirari au Namanga au Horohoro. Lazima pikipiki yako iwe na karatasi halali a kuimiliki to ka serikali ya Kenya. Hapo Mpakani watu wa TRA, wataithamini na kukwambia ni kiasi gani unatakiwa kulipia kama import duty. Utatumia risiti hizo kuja kuisaji huku Tanzania na kupewa namba za MC...xyz.
Utaratibu ni huo huo tu boder zote za TanzaniaNiko nairobi ninaprani nipite boda ya loitoktokit iko tarakea rombo kiongozi
Fanya Search JF UtauonaSijaoana huoo uzi
Kivip kaka sasa kuna shida huko Tanzania 🇹🇿
Of course, jua kila kitu kwanza ufanye maamuziKwaiyoo ni kodi tuu