Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,619
Unakuta kijana kaanza kazi
Miezi michache tuanachukua mkopo wa gari hapo anaishi nyumba ya kupanga
20% ya mshahara nyumba ya kupanga maana hawezi kuishi uswahilini
50% marejesho yamkopo wa gari
10% mafuta yagari,matengenezo ,trafiki na kadhalika
Hapo badopamba,kunywa miller maana eti hawanywi bia za Tanzania kisa huku maji machafu wanakunywavitu vya nje ,bado kuhonga kina smile
Hapo tarehe kumi ikifika anaanza kutuma vi outlook hey bidada naomba unikopeshe elfu hamsinimdogo waku karudishwa shule… khaa mimi nimkopeshe mwanaume kwa misingi gani? Sina muda wa kufedheheshana kwa kudaiana na watu mastupid kwanza.
Hivi huyu mtu anaangalia mbele kweli?
Wazazi wako wangekuwa hivo wewe hata ungezaliwa kweli.
Just imagine wazazi walikuwa tu walimu lakini mtoto wa kwanza tu wamemzalia kwenye nyumbayao
Kwani gari ndo maisha? Kwanini ukubali kubeba mzigo ambao unaharibu furaha na direction yamaisha yako kwa vizazi vyako vyote hapa duniani?
Kuna siku usafiri ulishawai kuwa wa shida hapa tz kwamba gari liwe ni muhimu sana? Ukitakakwenda popote si unaenda? Mbona kuna routehata ya masaki –gongo la mboto bwana? Magari kibao mia tatu yako tu
Maisha ni safari ndefu
Ni safari inayoitaji maamuzi ya busara na magumu
Tumia akili na nguvuzako zote kuamua
Familia na jamii na taifa vinakutegemea
Acha kuishi kwa tamaa
Acha kujifikiria mwenyewe
Acha kuwa mbinafsi
Wengine walijitesa ili wewe ufanikiwe
Angalia kesho tunaishi kwa ajili ya kesho maana leo imeshapita
Kijana wa kiume wa kitanzania jipange.
Nawatakieni sikukuunjema my dears
Ningetoa no yangututafutane tule sikukuuu sema kuna mtu kaniudhi ndo huyo ananipiga mizinga asubuhi hii
Nahofia na nyiehuku mtanipiga mizinga na mimi kuudhianana mtu sipendi na mimi kudai naogopa
Stay with my smile bye
Miezi michache tuanachukua mkopo wa gari hapo anaishi nyumba ya kupanga
20% ya mshahara nyumba ya kupanga maana hawezi kuishi uswahilini
50% marejesho yamkopo wa gari
10% mafuta yagari,matengenezo ,trafiki na kadhalika
Hapo badopamba,kunywa miller maana eti hawanywi bia za Tanzania kisa huku maji machafu wanakunywavitu vya nje ,bado kuhonga kina smile
Hapo tarehe kumi ikifika anaanza kutuma vi outlook hey bidada naomba unikopeshe elfu hamsinimdogo waku karudishwa shule… khaa mimi nimkopeshe mwanaume kwa misingi gani? Sina muda wa kufedheheshana kwa kudaiana na watu mastupid kwanza.
Hivi huyu mtu anaangalia mbele kweli?
Wazazi wako wangekuwa hivo wewe hata ungezaliwa kweli.
Just imagine wazazi walikuwa tu walimu lakini mtoto wa kwanza tu wamemzalia kwenye nyumbayao
Kwani gari ndo maisha? Kwanini ukubali kubeba mzigo ambao unaharibu furaha na direction yamaisha yako kwa vizazi vyako vyote hapa duniani?
Kuna siku usafiri ulishawai kuwa wa shida hapa tz kwamba gari liwe ni muhimu sana? Ukitakakwenda popote si unaenda? Mbona kuna routehata ya masaki –gongo la mboto bwana? Magari kibao mia tatu yako tu
Maisha ni safari ndefu
Ni safari inayoitaji maamuzi ya busara na magumu
Tumia akili na nguvuzako zote kuamua
Familia na jamii na taifa vinakutegemea
Acha kuishi kwa tamaa
Acha kujifikiria mwenyewe
Acha kuwa mbinafsi
Wengine walijitesa ili wewe ufanikiwe
Angalia kesho tunaishi kwa ajili ya kesho maana leo imeshapita
Kijana wa kiume wa kitanzania jipange.
Nawatakieni sikukuunjema my dears
Ningetoa no yangututafutane tule sikukuuu sema kuna mtu kaniudhi ndo huyo ananipiga mizinga asubuhi hii
Nahofia na nyiehuku mtanipiga mizinga na mimi kuudhianana mtu sipendi na mimi kudai naogopa
Stay with my smile bye