kwa wakaka wa kitanzania tu

kwa wakaka wa kitanzania tu

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,619
Unakuta kijana kaanza kazi
Miezi michache tuanachukua mkopo wa gari hapo anaishi nyumba ya kupanga
20% ya mshahara nyumba ya kupanga maana hawezi kuishi uswahilini
50% marejesho yamkopo wa gari
10% mafuta yagari,matengenezo ,trafiki na kadhalika
Hapo badopamba,kunywa miller maana eti hawanywi bia za Tanzania kisa huku maji machafu wanakunywavitu vya nje ,bado kuhonga kina smile
Hapo tarehe kumi ikifika anaanza kutuma vi outlook hey bidada naomba unikopeshe elfu hamsinimdogo waku karudishwa shule… khaa mimi nimkopeshe mwanaume kwa misingi gani? Sina muda wa kufedheheshana kwa kudaiana na watu mastupid kwanza.
Hivi huyu mtu anaangalia mbele kweli?
Wazazi wako wangekuwa hivo wewe hata ungezaliwa kweli.
Just imagine wazazi walikuwa tu walimu lakini mtoto wa kwanza tu wamemzalia kwenye nyumbayao
Kwani gari ndo maisha? Kwanini ukubali kubeba mzigo ambao unaharibu furaha na direction yamaisha yako kwa vizazi vyako vyote hapa duniani?
Kuna siku usafiri ulishawai kuwa wa shida hapa tz kwamba gari liwe ni muhimu sana? Ukitakakwenda popote si unaenda? Mbona kuna routehata ya masaki –gongo la mboto bwana? Magari kibao mia tatu yako tu
Maisha ni safari ndefu
Ni safari inayoitaji maamuzi ya busara na magumu
Tumia akili na nguvuzako zote kuamua
Familia na jamii na taifa vinakutegemea
Acha kuishi kwa tamaa
Acha kujifikiria mwenyewe
Acha kuwa mbinafsi
Wengine walijitesa ili wewe ufanikiwe
Angalia kesho tunaishi kwa ajili ya kesho maana leo imeshapita

Kijana wa kiume wa kitanzania jipange.

Nawatakieni sikukuunjema my dears
Ningetoa no yangututafutane tule sikukuuu sema kuna mtu kaniudhi ndo huyo ananipiga mizinga asubuhi hii
Nahofia na nyiehuku mtanipiga mizinga na mimi kuudhianana mtu sipendi na mimi kudai naogopa
Stay with my smile bye
 
Bila ya kuwa hata na Kistarlet kina Smile wanadenguwa sana, sasa hivi hapa mjini gari siyo kwa ajili ya usafiri bali tuimpress Bitches. Mwenye nyumba haeshimiki hapa mjini kuliko mwenye gari.
 
Bila ya kuwa hata na Kistarlet kina Smile wanadenguwa sana, sasa hivi hapa mjini gari siyo kwa ajili ya usafiri bali tuimpress Bitches. Mwenye nyumba haeshimiki hapa mjini kuliko mwenye gari.
Unavojiexpress hivohivo utapata wanawake wa type yako iyoiyo
Cheni bandia noti bandia
Jifunze kuwa real utaumia
 
Unavojiexpress hivohivo utapata wanawake wa type yako iyoiyo
Cheni bandia noti bandia
Jifunze kuwa real utaumia
Sijakuelewa bado hivi wewe Mwanaume mwenye Prado na mwenye Nyumba chamazi sijui kete yako itaanzia wapi? usitake kujifanyafanya hapa wakati watu kama nyinyi mnashoboka hata kwa Ma V8 za serikali STJ.
 
Sijakuelewa bado hivi wewe Mwanaume mwenye Prado na mwenye Nyumba chamazi sijui kete yako itaanzia wapi? usitake kujifanyafanya hapa wakati watu kama nyinyi mnashoboka hata kwa Ma V8 za serikali STJ.

Hivi mwanamke anaekupenda anaweza kukubali kuona unadhalilika hapa mjini kwa ajili ya starehe kweli?
Mwanamke anaekupenda kweli lazima atakubali kukuvumilia na kukubali kusaidiana na wewe katika matatizo pia atakushauri kuhusumaisha. Ila kwa sababu mnapenda mauzo ndo ivo wanawake nao wanachungulia wallet wanokomba kilichopo wanawakimbia…utajijuna madeni yako
Na cha kusikitisha hata wanapokula na kupanda hayo magariyenu tunajua ni mkopo mtupu na tunajua unawasumbua na kuwapa pressure
Lakini kwa vile mmeamua kufa pressure kwa ajili yetutunashukuru
Ila mimi nimewaambiatu vile nawapenda hapa
 
Dada smile nakubaliana na wewe mia kwa mia aisee umenena nazano wengi tutajifunza sana na hii post yako makini
 
mmh, ni mawaidha mazuri... inaonekana b/f wako huwa humchuni kabisa which is very kind of you
 
Hivi mwanamke anaekupenda anaweza kukubali kuona unadhalilika hapa mjini kwa ajili ya starehe kweli?
Mwanamke anaekupenda kweli lazima atakubali kukuvumilia na kukubali kusaidiana na wewe katika matatizo pia atakushauri kuhusumaisha. Ila kwa sababu mnapenda mauzo ndo ivo wanawake nao wanachungulia wallet wanokomba kilichopo wanawakimbia…utajijuna madeni yako
Na cha kusikitisha hata wanapokula na kupanda hayo magariyenu tunajua ni mkopo mtupu na tunajua unawasumbua na kuwapa pressure
Lakini kwa vile mmeamua kufa pressure kwa ajili yetutunashukuru
Ila mimi nimewaambiatu vile nawapenda hapa
Tatizo lako Smile unadhani ninachosema mimi ndivyo nilivyo, siko hivyo mimi binafsi nina gari yangu yangu Toyota Hilux Surf, Diesel Engen in good Condition lakini usishangae ukiniona napanda daladala maana siishi kwa hisia za watu wengine.

Unachopaswa ukifahamu ni kwamba maisha yamebadilika sana na Watanzania wana dharau sana imefikia kama huna kitu cha kuonekana basi wewe si lolote, na ukumbuke kwa nature ya binadamu hakuna anayependa adharalaulike mbele ya jamii, hii ndiyo inachangia Watanzania wengi tunaishi maisha ya kuigiza, binafsi mimi sasa hivi nimeshajiondowa kwenye mambo ya kuchangia harusi kiholeholela kila mwezi. am original and not copy.
 
Dah! Bi dada-hayo ndo mawazo ya ki 'wife material'. Naomba uwaconvince wadada wenzio ili nao wafikiri kama wewe...
Nyie ndo mnaotufanya tuwe hivo
Kwani zamani watu walivokuwa hawana hata mkokoteni walikuwa hawaoi?
Acheni ulimbukeni wa maisha
 
Gari ni mipango tu. Kama mtu umesoma na umeelimika, gari haliwezi kuwa mzigo. Cha muhimu ni mipango na kuwa na sababu maalum ya kuwa na gari. Kwa mfano, unaweza kuwa unafanya kazi na unataka kujiendeleza kielimu at the same time. Kwa Dar es Salaam, lazima uwe na gari ili kufanikisha mizunguko yote kwa wakati!
 
Tatizo lako Smile unadhani ninachosema mimi ndivyo nilivyo, siko hivyo mimi binafsi nina gari yangu yangu Toyota Hilux Surf, Diesel Engen in good Condition lakini usishangae ukiniona napanda daladala maana siishi kwa hisia za watu wengine.

Unachopaswa ukifahamu ni kwamba maisha yamebadilika sana na Watanzania wana dharau sana imefikia kama huna kitu cha kuonekana basi wewe si lolote, na ukumbuke kwa nature ya binadamu hakuna anayependa adharalaulike mbele ya jamii, hii ndiyo inachangia Watanzania wengi tunaishi maisha ya kuigiza, binafsi mimi sasa hivi nimeshajiondowa kwenye mambo ya kuchangia harusi kiholeholela kila mwezi. am original and not copy.
Kwanini ununue gari then uipaki? hapo ndo naona unakosea mara mia zaidi
Iyo hela si ungeinvest sehemu ingine mkuu
Hujui iyo ni hela?
Heri hata ungenunua hisa twiga cement au crdb usubiri gawio mwisho wa mwaka
Kuliko unanunua gari m 15 then unaipaki unapanda dalalala?
Ndo maana uchumi wetu haukui , na wewe ni muhujumu wa uchumiunatakiwa ushtakiwe mkuu
 
mmh, ni mawaidha mazuri... inaonekana b/f wako huwa humchuni kabisa which is very kind of you
kama amekaa kukamuliwa anakamulia tuu...uamuzi ni wake
 
Kwanini ununue gari then uipaki? hapo ndo naona unakosea mara mia zaidi
Iyo hela si ungeinvest sehemu ingine mkuu
Hujui iyo ni hela?
Heri hata ungenunua hisa twiga cement au crdb usubiri gawio mwisho wa mwaka
Kuliko unanunua gari m 15 then unaipaki unapanda dalalala?
Ndo maana uchumi wetu haukui , na wewe ni muhujumu wa uchumiunatakiwa ushtakiwe mkuu
Nimeishi Ulaya na private tranport tulikuwa tunatumia weekend tu, weekdays tunatumia Public transport, nadhani huna ufahamu na unachokisema na wala hujui ni nini maana ya kumiliki gari yako binafsi.
 
Nimeishi Ulaya na private tranport tulikuwa tunatumia weekend tu, weekdays tunatumia Public transport, nadhani huna ufahamu na unachokisema na wala hujui ni nini maana ya kumiliki gari yako binafsi.
by the way hapa nazungumzia wanaonunua magari kwa hela ya wasiwasi i mean waliofanya gari kuwa first priority kwao
 
Nyie ndo mnaotufanya tuwe hivo
Kwani zamani watu walivokuwa hawana hata mkokoteni walikuwa hawaoi?
Acheni ulimbukeni wa maisha

Trust me- sosholojia ni muhimu sana duniani hapa. Watu wanafight to get in na kustay in...Usipokuwa na gari kuna class flani ya watu huwezi mingle nao hata kama kwa kipato mko sawa au umewazidi. Labda unataka umuoe bi shosti wa class flani kisha competitors wako wote wana magari...Yani Imani inawashuka sana nyie dada zetu...Kwa sababu hata ww ukienda kuomba ushauri kwa shostito wako atakuambia;'mwanaume lazima awe na uwezo wa kukutunza/lea' japo wewe una hela na zipo kwenye hisa huwezi prove uko na uwezo wakumlea kwenye macho yao...hapo tayari mwenye gari kachaguliwa.
 
Mhhh hapa nasoma tuu comment nikipata wasaa nitapita na mimi nichangie
Smile maisha ni namna utakavyoamua uyaishi
Ukiamua wewe ni mtu wa kutaka kila unalofanya lionekane na watu au kwa ajili ya kufanya jambo fulani utaishia huko huko
Ishi uwezo wako na mshahara au kipato chako kinavyotaka uishi na usimuige fulani au usitake kumfurahisha fulani eti na wewe uonekane
Maisha hayaendi hivyo
 

Hivi mwanamke anaekupenda anaweza kukubali kuona unadhalilika hapa mjini kwa ajili ya starehe kweli?
Mwanamke anaekupenda kweli lazima atakubali kukuvumilia na kukubali kusaidiana na wewe katika matatizo pia atakushauri kuhusumaisha. Ila kwa sababu mnapenda mauzo ndo ivo wanawake nao wanachungulia wallet wanokomba kilichopo wanawakimbiautajijuna madeni yako
Na cha kusikitisha hata wanapokula na kupanda hayo magariyenu tunajua ni mkopo mtupu na tunajua unawasumbua na kuwapa pressure
Lakini kwa vile mmeamua kufa pressure kwa ajili yetutunashukuru
Ila mimi nimewaambiatu vile nawapenda hapa

Unafaa sana wewe.
 
Mhhh hapa nasoma tuu comment nikipata wasaa nitapita na mimi nichangie
Smile maisha ni namna utakavyoamua uyaishi
Ukiamua wewe ni mtu wa kutaka kila unalofanya lionekane na watu au kwa ajili ya kufanya jambo fulani utaishia huko huko
Ishi uwezo wako na mshahara au kipato chako kinavyotaka uishi na usimuige fulani au usitake kumfurahisha fulani eti na wewe uonekane
Maisha hayaendi hivyo
washauri vijana wenzio bwana
 
Back
Top Bottom