kiwi ndio tunda gani? Halafu nataka nianze kufunga ila niambie, mapapai yawepo katika lishe yangu ya matunda pekee? Mapapai huwa yanalainisha kinyesi, nikiwa sili msosi mwingine zaidi ya fruits (including hayo mapapai) hayatolainisha utumbo nijikute najisaidia utumbo badala ya kinyesi?