kwa wakazi wa dar

kwa wakazi wa dar

QUALIFIED

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2012
Posts
773
Reaction score
118
jaman natafuta kazi ya part time kama kuna kitu cha kufanya ni PM
 
hapana mkuu natafuta kazi kama kuuza duka ama ofisi yoyote
 
mkuu unategemea naweza fanya kazi kama izo afu nkasoma nyt kwel

Inawezekana kama una shida ya hela kweli. Kwani kufua na kupiga pasi huchukua muda gani? huna shida ya kazi wewe, na uelewe kuwa kuuza duka sio part time, huwa ni full time job. Na je kama duka ni kubwa unadhani utasoma hata hiyo jioni yenyewe?
 
Back
Top Bottom