Kwa wakristu,wale wa kuoa mtawapata makanisani

Kwa wakristu,wale wa kuoa mtawapata makanisani

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Wanaume ambao hamjaoa,wake zenu watarajiwa wapo makanisani,tembeleeni huko,kwenye kwaya za makanisa,wapo wanawake wengi sana.Nendeni kwenye makanisa,kusali,kuimba na kwa shughuli nyingine za makanisa hamtakosawa wanawake
 
Kwa taarifa yako humo kanisani na kwenye kwaya yako mashetani mabaya kuliko mtaani. Wee muombe Mungu kivyako atakukutanisha na wako popote! Mimi wa kwangu tulikutana kwenye sherehe za first year UDSM!
 
Jichanganye utakutana na retired war veterans na ndugu zao bed to bed midfielders.
 
Wanaume ambao hamjaoa,wake zenu watarajiwa wapo makanisani,tembeleeni huko,kwenye kwaya za makanisa,wapo wanawake wengi sana.Nendeni kwenye makanisa,kusali,kuimba na kwa shughuli nyingine za makanisa hamtakosawa wanawake
Hapa wapi na KULE ni wapi?
Mbona hai wanakwaya unaowasema wako humu wanafanya search na matching? Hata Baba Paroko naye hujamwona humu?
Hii Dunia inazunguka ujue!!!
 
Hapa wapi na KULE ni wapi?
Mbona hai wanakwaya unaowasema wako humu wanafanya search na matching? Hata Baba Paroko naye hujamwona humu?
Hii Dunia inazunguka ujue!!!
baba paroko anaoa?kuwa humu sio tija na kuwa humu hawajuani lakini makanisani wanaoanana ana kwa ana
 
baba paroko anaoa?kuwa humu sio tija na kuwa humu hawajuani lakini makanisani wanaoanana ana kwa ana
Zingatia usemi wangu wa mwisho"Hii Dunia inazunguka”
Mbona kama umekuja Jana kutoka MARS? Unahoji kuoa au kutooa kwa Paroko? Au shida ni maana ya kuoa?

Tuachane na Hilo
Muoaji na muolewaji halisi anayejua maana ya kuoa anatafuta akili ya kuoa na kuolewa na hiyo ndio kipaumbele, makalio makubwa ,urefu nakifua kipana ni nyongeza tu kama unavyonunua fungu la nyanyachungu ukaongezewa kadhaa na ndio maana humu wanapeana interview za kutosha hata kabla ya kuonana, hapa naongea kuhusu wenye akili ya kuoa na kuolewa. Hatutafuti wanaojua kucheza step, wigi na make up au wavaa mlegezo, suti wala wanaojua kupangilia maneno ya kutongoza.
 
Back
Top Bottom