Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Loh!!!!!!!!!!! mi mke wangu ni mwanajeshi!!!
Mimi wangi diplomat
Pole huyo analiwa na wenzio safarini
Hii imetulia mkuu..kumbe na wewe umo eeh!
Mimi wangi diplomat
Unaliwa kila siku!Wangu nesi.
Ukitaka ufaidi raha ya MAPENZI, usifanye na POLISI maana atakwambia "Mikono Juu" wala usifanye na Mhasibu maana atakwambia "Na huku lazima i-balance" au Nesi maana utasikia akisema "Mwingine Ingia. Nashauri sana oooh tena sana Mara zote fanya na MWALIMU maana Yeye utamsikia akisema "RUDIA TENA! NA TENA" kisha utamsikia akimalizia kwa kusema "Vizuri saaaaaaaaaaannnaaaaaaaaa...."
Muwe na weekend njema japo najua tarehe ni ngumu.
Ukitaka ufaidi raha ya MAPENZI, usifanye na POLISI maana atakwambia "Mikono Juu" wala usifanye na Mhasibu maana atakwambia "Na huku lazima i-balance" au Nesi maana utasikia akisema "Mwingine Ingia. Nashauri sana oooh tena sana Mara zote fanya na MWALIMU maana Yeye utamsikia akisema "RUDIA TENA! NA TENA" kisha utamsikia akimalizia kwa kusema "Vizuri saaaaaaaaaaannnaaaaaaaaa...."
Muwe na weekend njema japo najua tarehe ni ngumu.