klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
good morning fiat punto wangu!ungepiga horn kwa sauti bwana....sasa uliweza kumfundisha au nianze darasa? Lizzy ameelewa sema alitaka tu wewe umfundishe...its sweet you know....l.o.l
good morning fiat punto wangu!
good morning fiat punto wangu!
Keren Happuch skumpatia tena ile lift, naona amezoea kutembea na miguu nikimpeleka 80 m/h atatapika bure na babu wa loliondo amezuia huduma.heshima yako inashuka.....nashukuru kwa kurudisha gari langu shalobaro.....!!:washing:
mkuu na wewe unamiliki fiat nini? hehehe:lol::lol:
mkuu na wewe unamiliki fiat nini? hehehe
huyu michelle ananizingua, alinifahamisha sehem nimfate kumbe wizi mtupu, hakutokea. nilirudi mausiku mkubwa nikaona sredi linabembea tu lakini mkuu uliwakilisha vya kutosha. na sasa tumeelewa kwenye hii sredi nani ni fiat na nani ni land kruza.Mkuu Jana ulikuwa wapi tena?!!!
Yaani hii sredi jana ilifanya akina DA, Lizzy, Gaga, Lily Flower na Heren K na watu wengine kama 60 hivi washindwe kulala mapema
Tulihitaji sana mchango wako ktk haya magari tunayotumia hapa bongo, hasa hasa mngurumo wa injini
Yaani hao ndo walikuwa abiria wetu
huyu michelle ananizingua, alinifahamisha sehem nimfate kumbe wizi mtupu, hakutokea. nilirudi mausiku mkubwa nikaona sredi linabembea tu lakini mkuu uliwakilisha vya kutosha. na sasa tumeelewa kwenye hii sredi nani ni fiat na nani ni land kruza.
hehehe tata wapi! fiat huyu bana! asikutishe na mikwala yake, si unajua fiat. kisahani kinaonesha ana 160 km/hr lakini ukiipeleka 100 tu inachemsha. khaaa!Mi naona Michelle anaonekana kama TATA
hehehe tata wapi! fiat huyu bana! asikutishe na mikwala yake, si unajua fiat. kisahani kinaonesha ana 160 km/hr lakini ukiipeleka 100 tu inachemsha. khaaa!
mkuu toa uzoefu wako au una kabaskeli?hapa mi nshasema kutakuwa na maandamano.......
halaf vi fiat kama ukisahau kufanya service imekula kwako. vinaunguza plug balaa. khaaa! tuombeni bwana yesu arudiMmmmh! Labda, lakin FIAT ukichomeka gia kubwa namba 3 inabidi usichomoe maana huwa zina mchezo wa kutema gia zikizidiwa
Helloooooooo friends!!!!
Keren_Happuch anawatakia weekend njema kabisa! Enjoy and stay blessed!
mkuu toa uzoefu wako au una kabaskeli?
hehe hivi hata wikiendi unatembea na mguu? wikiendi bila wewe kuwa kwenye front seat ni worthlessHelloooooooo friends!!!!
Keren_Happuch anawatakia weekend njema kabisa! Enjoy and stay blessed!
hapa mi nshasema kutakuwa na maandamano.......
dah! mkuu siku ukiazimwa kanissan micra lazima ukalejeshe kamekatika chain belt. khaa!Mkuu unaifahamu Defender 110 4x4xFar...ndo gari ninayoendesha....mlio wake unaupata?
ooh Keren..I have been looking for u all over...Michelle alikupatia salamu zangu?:focus: