Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

ungepiga horn kwa sauti bwana....sasa uliweza kumfundisha au nianze darasa? Lizzy ameelewa sema alitaka tu wewe umfundishe...its sweet you know....l.o.l
good morning fiat punto wangu!
 
heshima yako inashuka.....nashukuru kwa kurudisha gari langu shalobaro.....!!:washing:
Keren Happuch skumpatia tena ile lift, naona amezoea kutembea na miguu nikimpeleka 80 m/h atatapika bure na babu wa loliondo amezuia huduma.
 
mkuu na wewe unamiliki fiat nini? hehehe

Mkuu Jana ulikuwa wapi tena?!!!
Yaani hii sredi jana ilifanya akina DA, Lizzy, Gaga, Lily Flower na Heren K na watu wengine kama 60 hivi washindwe kulala mapema
Tulihitaji sana mchango wako ktk haya magari tunayotumia hapa bongo, hasa hasa mngurumo wa injini
Yaani hao ndo walikuwa abiria wetu
 
huyu michelle ananizingua, alinifahamisha sehem nimfate kumbe wizi mtupu, hakutokea. nilirudi mausiku mkubwa nikaona sredi linabembea tu lakini mkuu uliwakilisha vya kutosha. na sasa tumeelewa kwenye hii sredi nani ni fiat na nani ni land kruza.
 
huyu michelle ananizingua, alinifahamisha sehem nimfate kumbe wizi mtupu, hakutokea. nilirudi mausiku mkubwa nikaona sredi linabembea tu lakini mkuu uliwakilisha vya kutosha. na sasa tumeelewa kwenye hii sredi nani ni fiat na nani ni land kruza.

Mi naona Michelle anaonekana kama TATA
 
Mi naona Michelle anaonekana kama TATA
hehehe tata wapi! fiat huyu bana! asikutishe na mikwala yake, si unajua fiat. kisahani kinaonesha ana 160 km/hr lakini ukiipeleka 100 tu inachemsha. khaaa!
 
hapa mi nshasema kutakuwa na maandamano.......
 
hehehe tata wapi! fiat huyu bana! asikutishe na mikwala yake, si unajua fiat. kisahani kinaonesha ana 160 km/hr lakini ukiipeleka 100 tu inachemsha. khaaa!

Mmmmh! Labda, lakin FIAT ukichomeka gia kubwa namba 3 inabidi usichomoe maana huwa zina mchezo wa kutema gia zikizidiwa
 
Helloooooooo friends!!!!

Keren_Happuch anawatakia weekend njema kabisa! Enjoy and stay blessed!
 
Mmmmh! Labda, lakin FIAT ukichomeka gia kubwa namba 3 inabidi usichomoe maana huwa zina mchezo wa kutema gia zikizidiwa
halaf vi fiat kama ukisahau kufanya service imekula kwako. vinaunguza plug balaa. khaaa! tuombeni bwana yesu arudi
 
hapa mi nshasema kutakuwa na maandamano.......

Mkuu heshima yako
Hapa sisi hatuna nia ya kumtoa mkwere madarakani na wala hatuandamani
Tunafanya mazungumzo ya kuona magari gani yangefaa kuwapeleka kazin abiria wetu Michelle, Lizzy, DA, Heren K, WL, Husninyo, shosti, susy Lily Flower n.k.
Na pia tulikuwa tunaangalia magari ambayo yalipaswa yatumiwe na wadada hawa kama FIAT, TATA, MSOSOLISO, TINGATINGA LA KAJIMA na JIEFANG wakati wa kwenda chikeni party, kama alivyopendekeza kamanda kloro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…