Mkuu unaifahamu Defender 110 4x4xFar...ndo gari ninayoendesha....mlio wake unaupata?
Mkuu heshima yako
Hapa sisi hatuna nia ya kumtoa mkwere madarakani na wala hatuandamani
Tunafanya mazungumzo ya kuona magari gani yangefaa kuwapeleka kazin abiria wetu Michelle, Lizzy, DA, Heren K, WL, Husninyo, shosti, susy Lily Flower n.k.
Na pia tulikuwa tunaangalia magari ambayo yalipaswa yatumiwe na wadada hawa kama FIAT, TATA, MSOSOLISO, TINGATINGA LA KAJIMA na JIEFANG wakati wa kwenda chikeni party, kama alivyopendekeza kamanda kloro
hehe hivi hata wikiendi unatembea na mguu? wikiendi bila wewe kuwa kwenye front seat ni worthless
dah! mkuu siku ukiazimwa kanissan micra lazima ukalejeshe kamekatika chain belt. khaa!
Difenda ngumu sana, ni nzuri kama unataka kujifunza kuendesha magari ya mizigo mikubwa au mabasi ya mkoa
Ohhh!! Nafikiri tumepishana kidogo na Michelle.....tell me now Kaizer, I am listening!
hehehe sasa wikiendi imekamilika, acha niweke wese nikuje. i take no chance, hapo hapo kariakoo naweka full tank.Ndo maana nimekuja, ili unisindikize kariakoo....:lol:
khaaa! hiyo red ni gari gani?Love you Keren, I am planning to formally propose on 1/4/2011. will you be there baby?
Love you Keren, I am planning to formally propose on 1/4/2011. will you be there baby?
mkuu hili gari si limezoeleka city kubeba taka?:shock:
hehehe sasa wikiendi imekamilika, acha niweke wese nikuje. i take no chance, hapo hapo kariakoo naweka full tank.
Love you Keren, I am planning to formally propose on 1/4/2011. will you be there baby?
So sweet of you Kaizer!!! Ohhhh!! by then it might be too late dear, you better hurry up!
So sweet of you Kaizer!!! Ohhhh!! by then it might be too late dear, you better hurry up!
Wakuu
Naona mnaanza kuharibu sredi na kuanza kuitana majina ya kuamsha watoto na anda eitiini
Mara "oooh bebiiii, oooooh switi"
Kwani mmekuwa pipi za ukwaju???!!
:hatari:YOU HAVE BEEN WARNED!!:hatari:
how about the end of this month.....:gossip:
Tumekuelewa Mod CPU........:shut-mouth:
nakula bling bling nakuja. wakuu kaizer na cpu baadae banaJamani marafiki, nice to say hello with you guys....ngoja niwahi kariakoo!!
Klorokwin nakusubiri.....:lol:
Kaizer, you better talk with mzee JOB...π
That sounds better......π
Jamani marafiki, nice to say hello with you guys....ngoja niwahi kariakoo!!
Klorokwin nakusubiri.....:lol:
Kaizer, you better talk with mzee JOB...π