Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

ungepiga horn kwa sauti bwana....sasa uliweza kumfundisha au nianze darasa? Lizzy ameelewa sema alitaka tu wewe umfundishe...its sweet you know....l.o.l

Dearest nilikuhitaji sana aisee...yani mi nlikua nachomekea tu..Bendera fuata upepo!
 
Kuna suala mmelisahau hapa. Dereva inabid awe na umakini wa hali ya juu akiwa anaendesha gar jipya
 
Sipiyuu, leo bichi bana kupata upepo. Tunakwenda na 109 short chasis kibandawazi. Natafuta hendeli ya kuwasha, angalia maji na oili. Waambie hao watoto wajiandae plz
 

,,,,u r so genious kijana,,huu MTUNGO umetulia ha ha haaaaa!!!
 
Sipiyuu, leo bichi bana kupata upepo. Tunakwenda na 109 short chasis kibandawazi. Natafuta hendeli ya kuwasha, angalia maji na oili. Waambie hao watoto wajiandae plz

Mkuu nimerudi sasa, gari lilizimika njiani nikasinzia
 
Mkuu nimerudi sasa, gari lilizimika njiani nikasinzia

Sawa mkuu, waite hao wadada bana twende. Nimeshacheki gari kila kitu poa isipokua breki inabidi uwe unapampu adoado lakini wewe mzoefu najua
 
Originally Posted by double bb
nakumbuka magari mengine yantoa muungurumo wa yaaaaaaaaaaaaaaanaah, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, jaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaaniiiii,iiiiiii

Ha haaa ha mengine yana amkia shikaoooooo!

Na Madereva mahiri nao huongeza mbwembwe zao japo kwa kubania......
 
Originally Posted by double bb
nakumbuka magari mengine yantoa muungurumo wa yaaaaaaaaaaaaaaanaah, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, jaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaaniiiii,iiiiiii



Na Madereva mahiri nao huongeza mbwembwe zao japo kwa kubania......

Afu madereva wengine kwa midadi utakuta akiskia mlio wa gari na yeye analiaaa analakamikaaaa haha haaaa.
 
Sawa mkuu, waite hao wadada bana twende. Nimeshacheki gari kila kitu poa isipokua breki inabidi uwe unapampu adoado lakini wewe mzoefu najua

Mkuu:focus:
 
Sipiyuu, leo bichi bana kupata upepo. Tunakwenda na 109 short chasis kibandawazi. Natafuta hendeli ya kuwasha, angalia maji na oili. Waambie hao watoto wajiandae plz

Usisahau kupima oil
 
Nimepitwa kweli hii thread ya kisomi sana hongereni kina CPU, Klorokwin, muhosni na wengine mmeitendea haki kweli hii thread
 

We CHANGE nitake radhi coz umenichekesha sana na post yako hadi watu wananiona kama hazinitoshi vile.......nitake rahi ndipo nichangie CHANGE.
 
We CHANGE nitake radhi coz umenichekesha sana na post yako hadi watu wananiona kama hazinitoshi vile.......nitake rahi ndipo nichangie CHANGE.

Sio wewe ndio umtake radhi cause id yake ni charger not change! haya tuambie gari lako lina mlio gani
 
Lakini wakati mwingine engie zinakuwa zimechakachuliwa kwa kuondolewa turbo bila ridhaa ya mwenyewe na mafundi wenye imani mbovu. Basi mlio wake unakuwa feki kwa kweli.
 
mlio unategemeana sana na aina ya makabira ila makabira ya kusini duh hatari wana milio yote uliyoorodhesha hapo juu!lakini wamasai ni kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaah
 
loL! ila gari shurti iwe na mlio bana, ukitilia maanani bei za mafuta na jinsi watu wanavyokanyaga accelerator kwa hasira mlio lazima upatikane aisee..:lol:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…