kEREN NIMEAMBIWA HUWA UNATUMIA TOYO
hilo gari namba moja ni kama souvenir huwa halitoki kabisaaisee kamanda, niazime hilo gari namba 1
Hivi DCM kama yale yanayoenda Mbagala na Gongo la Mbali si yanafaaaHeren K anapenda sana FIAT la Kloro
hIVI MLIO WA TOYO UKOJE???
Hivi DCM kama yale yanayoenda Mbagala na Gongo la Mbali si yanafaaa
ahaaa ahaaaa unaweza shangaaa inawaka moto moja kwa mojainategemea uliwashaje, kwa kusukuma au kwa hendi batan
Hapo umechangia wala sio mtazamaji muhosini l.o.lWatazamaji tupo, tunapata burudani, endeleeni
hIVI MLIO WA TOYO UKOJE???
Yaani huyu jamaa akija tu baasi
Kama hujaandaa mbavu zako umekwisha
Mweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee:lol::lol::lol::lol::lol:
Mmhhh
my dear mie napenda mkokoteni..
Movement yake ni kwa staji na step za mtu ..
haitumii petrol,disel, mogas, avgas au mafuta ya taa.
is not made in japan or german..
kwa hiyo sio artificial..
I love it coz is hand made
original from TZ ..
Sauti yake ni minimum..
Hau hitaji ku do service every six mnth..
lifetime insurance..
duhh ngoja ninywe maji ..
ahaaa ahaaaa unaweza shangaaa inawaka moto moja kwa moja
Hapo umechangia wala sio mtazamaji muhosini l.o.l
Afrodenzi mbona Avatar yako inaashiria unapenda kusafiri na VX...
CPU hebu mwambie Afrodenzi kuhusu Madereva wa mikokoteni! Kwanza huwawanachukua mda mrefu kufika, wakati mwengine hupokezana.....na wengi wao hupenda kutembea pekupeku!! LOL
View attachment 24958View attachment 24959
gari lako linatoa mlio aina gani sweetie??
Ukika-press kale ka batan ka katikati kwa juu si zinawaka taa zile za njano za kushoto na kulia, basi hapo kaka spidi ya kuwahi inakuwa kama msafara wa joji bushi
Nilitaka tu kujua zile chai maharage enzi ile ya Mzee Ruksa zilikuwa aina gani.
Love mbona nimetoka kapa mwenzio!
Zile zilikuwa zinajulikana kama KENTA.
Hazipatikani siku hizi lakin zilikuwa raha kweli kupanda. Hasa ule mkao wa kuangaliana USO KWA USO . . . . aaaaaah we acha tu, unapitiliza hadi kituo. Halafu sasa zile zilikuwa hazichuji mapema, na wala hazihitaji kuwekwa mataa na mahoni au kung'arishwa body lake ili zionekane nzuri. Yaani bodi orijino, taa za mvuto, mlio umetulia hata mchangani zinapita
Michelleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee :horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
Michelleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee :horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
Hebu njoo umpe darasa la chiken pati mwenzio, ameshasahau kama anamiliki benzi