Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

michelle utafkuza abiria wangu. nitakuripoti abyuzi ukiendelea
naomba u report ndo utakapojua unayemwibia kila siku ana hadhi gani hapa???? go ahead and report....:smash:

Kumbe una gari la wizi, lol! mimi hata sitaki lifti yako....:lol:
huyu muache hata hela ya kunyoa ndevu nalipa mimi,driving school,license na gari ni vyangu na mume wangu...hana hata mlio..:washing:
 
Pongezi kwa mtoa mada, yani umeweza kuwabakisha wachangiaji mada ktk jina feki la gari na miliyo yake. Wengene tujifunzeni kupitia kweke.
 
Mkuu mm sina meng ya kuchangia ila tu kukupa pongez kwanza kabisa kwa kudadafua kimantiki, tumepata mustakabal sawia ambao hauna ukinzani. Umejitahid kuwasilisha misamiat kwa kutumia tafsida ya hali ya juu. Heshma yako mkuu
 
naomba u report ndo utakapojua unayemwibia kila siku ana hadhi gani hapa???? go ahead and report....:smash:


huyu muache hata hela ya kunyoa ndevu nalipa mimi,driving school,license na gari ni vyangu na mume wangu...hana hata mlio..:washing:
khaaa! lizzy akiona hii lazima anipige kibuti
 
naomba u report ndo utakapojua unayemwibia kila siku ana hadhi gani hapa???? go ahead and report....:smash:


huyu muache hata hela ya kunyoa ndevu nalipa mimi,driving school,license na gari ni vyangu na mume wangu...hana hata mlio..:washing:

Asante kwa kunifahamisha hilo dada Michelle....!
 
kuna siku niliazima kagari (hakakuwa kangu), kabla hata sijaweka key kwenye switch kagari kakaanza kuleta milio ya ajabu ajabu. nikajua ni kagari ka china tu (wizi mtupu) , lakini kwavile ni kagari ka kuazima nikakapeleka hivyo hivyo kichina china.

Yaani huyu jamaa akija tu baasi
Kama hujaandaa mbavu zako umekwisha

Mmhhh
my dear mie napenda mkokoteni..
Movement yake ni kwa staji na step za mtu ..
haitumii petrol,disel, mogas, avgas au mafuta ya taa.
is not made in japan or german..
kwa hiyo sio artificial..
I love it coz is hand made
original from TZ ..
Sauti yake ni minimum..
Hau hitaji ku do service every six mnth..
lifetime insurance..
duhh ngoja ninywe maji ..


Mweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee:lol::lol::lol::lol::lol:
 
Nimeambiwa Klorokwin alipoenda kwa babu loliondo baada ya kupewa kikombe na babu anywe dawa akamwambia Babu anasubiri mrija kwanza
 
msituharibie jukwaa tafadhali. Ngoja nirudi kiukweli
 
Nimeambiwa Klorokwin alipoenda kwa babu loliondo baada ya kupewa kikombe na babu anywe dawa akamwambia Babu anasubiri mrija kwanza

Alifikiri ni juisi ya miwa, akawa anashangaa ilivyo chachu . . . .
 
Back
Top Bottom