concSULPHURICacid
Member
- Nov 1, 2013
- 12
- 0
habari,
kwa wale wanaohitaji kulima hasa maharage mashamba ya kukodi yanapatikana na unaweza kulima mara3 kwa mwaka na kiwango cha chini ni gunia5 kwa heka,,
kwa wafugaji pumba na mashudu vinapatikana kwa bei nafuu na itakufikia popote ulipo,,
kwa wafanyabiashara maharage ya soya kiasi chochote utakacho.+
karibuni wanajamvi.
mbona unapost kama unafukuzwa?