Kwa wale ambao majina yao hayapo kwenye second round application.

Joined
Apr 3, 2013
Posts
53
Reaction score
0
Jamani wana jamvi; mimi jina langu halipo kwenye ile orodha ya second round app. but nikiingia kwenye profile yangu, af niki-klick ile application batton; ninaletewa yale maneno ya 2nd round app.!! mf. 1st come 1st save basis! but jina langu kwenye orodha halipo! vip wenzangu na nyie ni hivyo au ni mietu?? 2SAIDIANE JAMAN.
 
Hata mie ni hivyo ila nackia wengine zimekaa sawa ! Ata cjui ni nn! Lol
 
Nyie ndo mliohaulishiwa matokeo ya f vI? Ni janga la elimu ya Tanzania nyie
 

usiwe na papala ww.. Umeclick pa nini sasa n'way uktumia computer ukaclck aplication hapafunguk kama jna lako halipo kule pakfunguka bas we umo hvo kama kawa wahi
 
Nyie matokeo yenu ni yale yaliyorekebishwa baada ya tume ya Pinda (wapigwe tu hao) kupitia matokeo ya fom IV kuishinikiza NECTA kutumia mtindo wa zamani kwa fVI?
 
Matokeo yaliyofanyiwa marekebisho kwa matakwa ya kisiasa
 
Alaf wengne humu mnatuchanganya tu aaah!..... hamuongei hoja inayoendana na kumsaidia mtu!
 
Kama unatumia simu,ipad ndo inafanya hivyo.tumia mozilafire fox kwenye computer
 
kwa walioapply through diploma,kwa maana ya link ya NACTE,naona wameondoa ile button ya edit selection,ni kwangu tu au kwa wote?hapa ni ikiwa jina lako halipo kwenye majina ya diploma not selected
 
kwa walioapply through diploma,kwa maana ya link ya NACTE,naona wameondoa ile button ya edit selection,ni kwangu tu au kwa wote?hapa ni ikiwa jina lako halipo kwenye majina ya diploma not selected

ni kwa wote kaka kuwa na subira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…