Haaa haaa ...buku mbili mtu analewaaaa full kelele..Kwa hili wamewaweza
Heshima lazima irudi kwa mnywa bia!
Haiwezekani mtu anabuk mbili tu alewe na kusumbua mtaa mzima kila siku!
Sasa mtakuwa mnalewa kwa matukio
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Kwa hili wamewaweza
Heshima lazima irudi kwa mnywa bia!
Haiwezekani mtu anabuk mbili tu alewe na kusumbua mtaa mzima kila siku!
Sasa mtakuwa mnalewa kwa matukio
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Kwani wewe ulishindwa nini kusumbua??
Wewe unanipigia hesabu ya balimi ya buku jero? Kwani mpaka niifikie ile stimu ya viroba nimekunywa kreti ngapi???balimi za buku jero bana zipo....au kuna bia naona zinaitwa eagle buk na miambili tuu...sema stimu hadi unze na gongo
hahaha...pole sana mkuu...kila goti litagigwa kwa ngosha ....hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe lingineWewe unanipigia hesabu ya balimi ya buku jero? Kwani mpaka niifikie ile stimu ya viroba nimekunywa kreti ngapi???
Na wakati buku tatu nilipata vifurushi vyangu daily na fegi za jero[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Heshima kiroba itabaki palepale.
Katika harakati zote za awamu hii hakuna hata sehemu niliyokuwa nimefuswa aseee
Sasa naabza kuuona uchungu wa maamuzi ya awamu hii.
Kama mimi niliyeliona taarifa ya kupigwa viroba marufuku nilishtuka! Je vipi wale wengine aseeee.....
Mwaka huuu ama msimy huu kweli shidaa.
Kama sasa hivi nilishakata roki mapeeeeeeema kwa jero
Kwa hiyo mnataka tuseme wanywa bia mmeamua kutufanyia hiana si ndio???[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] .[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mkuu stimu ya viroba ilikuwa inawaelemea vijana!
inawapelekea uwehu ambao kwa bia kuufikia lazima pesa itembee kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hiyo mnataka tuseme wanywa bia mmeamua kutufanyia hiana si ndio???[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] .
Kama kulemewa vijana wamelemewa na madawa na sio viroba mkuuu
Tunatangaza bifu la wanywa bia na wanywa viroba[emoji125] [emoji125] nikachukue zana kwanza[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Nyinyi mmemwaga viroba sisi tutamwaga damu[emoji379] [emoji380] [emoji378] [emoji375]
Wangeweka tu faini bhana sio na mwezi juu huku ni kumuonea mlevi wa chini na kubaguana katoka starehe, kati ya wenye nacho na wasio nscho[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mshapigwa tatu bila mpaka sasa!
Viroba vimekua adimu kwel, fuata mapendekezo ya wakuu wengine humu wametoa njia mbadala
Inatakiwa uwe na utumbo wa jeansMkuu nasikia inakwangua kuanzia midomo koo hadi utumbo
AnaeWangeweka tu faini bhana sio na mwezi juu huku ni kumuonea mlevi wa chini na kubaguana katoka starehe, kati ya wenye nacho na wasio nscho
Kwanza vipi hivi pm hana binti kweli[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
una alcohol ngapi?Mtindi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]una alcohol ngapi?
booking ya kuzimu hata ww unayo unaweza ukapanda majinjah ukapata ajali na ku rest in peace mda wowoteKunyweni gongo kwani hamna????
Maana mlisha fanya booking kuzimu labda kwa rehema ya Mungu mtapona..!