Kwa wale mabingwa wa kutongoza, huu ndio uzi wenu nitongozeni

Kwa wale mabingwa wa kutongoza, huu ndio uzi wenu nitongozeni

Wapi wewe!!acha kuja kutuletea mangendembwee kisoro ivo,,Yaani sisi tukusalandie wewe alaf ili iweje sasa??em vunga pita ivi.
 
Katoto kabaya, ww umeumbika, unawakawaka, nikinywa maji kwenye glass nakuona, ww ndo tolezo la roho yangu naomba uje uushikilie moyo wangu, usidondoke
 
Katoto kabaya, ww umeumbika, unawakawaka, nikinywa maji kwenye glass nakuona, ww ndo tolezo la roho yangu naomba uje uushikilie moyo wangu, usidondoke
moyo nikiushikilia naubinya unabofoka bst nakutia hasara😜
 
Weka picha yako halisi kwanza tuthaminishe then ndo tuendelee

Kana Mapaja ya kinyegenyege
1127229
 
Basi ww utakuwa dume, mitongozo yote hii hujanielewa tu!
 
Back
Top Bottom