jusper ochieng
Member
- Jun 17, 2014
- 47
- 7
Ni vyema tukatambuana mapema ili tuweze kubadilishana mawazo kadha wa kadha...... kwa wale ambao hawajui mahali chuo kilipo... na mazingira ya chuo kilivyo asisite kuniuliza.... niko tayari kumpatia msaada...ila tu kama itakua ndani ya uwezo wangu.....