Kwa wale mnao enda kusomea UALIMU,someni hapa.

 

Mmmh,kaka taratibu!
 
mi nazani shida ni walimu nyie wenyewe wengi wenu mna ji devalue nyie wenyewe sasa mtu badala ya kuwatia moyo wanaokuja ili wafanye kila linalowezeka mazingira yaboreshwe wewe tena una washauri wasije tena una justify kwamba na wewe umekosea kwenda huko.walaaahi hata mi ningekuwa serikalini mngebaki hivyohivyo utamsaidiaje mtu aliyeenda sehemu kimakosa.afu mnalalamika sana mbona watu wengine wana hali ngumu na mazingira duni ila hatuwasikii
 
For sure ukweli unauma na unaumiza lakini watanzania ni muda sasa wa kuambizana ukweli black&white ...nchi hii siyo siri ualimu una shida kupita maelezo tena kwa vijijini ni dhahama ya hatari.
 
Unaweza kuaomea ualim, na ukawa mwalim kwa muda then ukajiendeleza kusoma ukabadilisha field. Mimi nilikua mwalim na nishabadilisha kazi muda sasa.
 
 
 
Unaweza kuaomea ualim, na ukawa mwalim kwa muda then ukajiendeleza kusoma ukabadilisha field. Mimi nilikua mwalim na nishabadilisha kazi muda sasa.

Mkuu wengi tuna mawazo kama yako,lakini huku halmashauri kuna ukiritimba wa ajabu watu wanajiona wao ni pseudo gods.
 

Una ongea kitu usicho kijua wewe watu kama nyie mnatia hasira sana ungeona walimu wanavyoteseka na kudharauliwa usinge ongea utumbo kama huu.
 
Mkuu level ya digrii hakuna anaesomea ualimu,wanaosomea ualimu ni certificate na diploma! Its not necessary kuwa mwalimu eti kwa sababu ulisoma Ba.Ed au Bed...kua hapo wewe ultaka mwenyewe!But nevertheless USHAURI MZURI
 
 
Mhm!me napita tu,walimu nawaheshmu sana lakini nawachukia sana kwa tabia yenu ya uoga na unafiki..hamna tofauti na mapolisi,mnadhani hyo kazi mmepewa kwa huruma za serikali..fungueni hzo akili zenu na mpiganie haki zenu,msiridhke na hzo gongo mnazopewa bure huko vijijini.shauri zenu lakini.
 

Umeanza vizuri kuandika lakini umetia na dharau ndani yake,ukikua utaacha tu huo upuuzi wako.
 
Mkuu level ya digrii hakuna anaesomea ualimu,wanaosomea ualimu ni certificate na diploma! Its not necessary kuwa mwalimu eti kwa sababu ulisoma Ba.Ed au Bed...kua hapo wewe ultaka mwenyewe!But nevertheless USHAURI MZURI
Kweli kabisa!
 
Mkuu level ya digrii hakuna anaesomea ualimu,wanaosomea ualimu ni certificate na diploma! Its not necessary kuwa mwalimu eti kwa sababu ulisoma Ba.Ed au Bed...kua hapo wewe ultaka mwenyewe!But nevertheless USHAURI MZURI
Kweli kabisa!
 
pole kwa wewe uliepotea njia,ila usiwakatishe tamaa na wengine kwa kushndwa kwako,UALIMU sio stress ila kama umejijengea fikra hiyo na itakua hivyo kweli,unasema mishahara midogo? Serikali inakulipa mshahara wewe pekeako sio wewe na ukoo wako.
 

muangalie alivyo kilaza unajisifia ukubwa??hahaha umeshapoteaa kwa kuchagua education
 
mwalimu gani hujui hata kuandika,
duh kwa uandishi huu wa kuandika km,vp, hzo, inaonyesha wewe ni mtu wa kijiweni, kama ni mwalimu basi ni voda fasta
 

....................................?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…