Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ninakumbuka kuna familia walikuwa watoto 10, chekechea walikua 3 darasa moja na mtoto wa dada yao mkubwa. Ninadhani hawakuwa wanapata chai nyumbani lile bulgar walikua wanarudia.Hiyo kitu ilikua tamu sana