Duh basi unaweza ukawa malaika wewe? hata shule ya msingi hujawai mpiga mtu kibuti? akabaki na maumivu?
Inajalisha, maana kuachwa na boyfriend sio sawa na kuachwa na mume. Boyfriend you can make a substitution, but not a husband in most african societies-unakuwa umeshakuwa na doa-
Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondoka
Kuna Watu wanakuwa
marafiki zetu kwa muda tu
baadae hutoweka
Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondokahuku wakiacha Oooo
makovu kwenye
nyoyo zetu
na wote hatupo
sawasawa katika
kufaulu kupata marafiki
wazuri !!!
Ya Jana ni Historia.
Ya Kesho ni Miujiza
Ya Leo ni Zawadi kutoka kwa Mungu.
Tunapaswa kushukuru kwa zawadi hii pekee
ahahaaa sina hangover bwana,ila kusahau ngumu
ahahaaa sina hangover bwana,ila kusahau ngumu
Pole sana Smile,
Hata hivyo, unaonekana uko kwenye advanced stages of healing.
Mie niliachwa wakati nimebeba ring mkononi..ila nilimshukuru Mungu, kwani nadhani alijua kuwa kule kulikuwa siko ninakotakiwa kwenda!!
Babu DC!!
Umeonaee, ngumu hasa pale ww ulipokuwa mwema na muaminifu ukiamini na yy yuko hivi. Na inakuwa ngumu zaidi pale anapokuachia kitu kitakachokupa kumbu kumbu zake daima.
Pole sana mpendwa, but maisha lazima yaendelee.
Mungu alikuwa na makusudi nawe, akukutanishe na bibi yetu, upate mapenzi matamu milele.
Ila kumbe na ww babu kash kash za mapezi zimekupata ujanani kwako?
Kitu gani Koku?
Mtu ambaye hamjazaa pamoja...nadhani ni rahisi kumsahau kabisa, au nakosea?
Babu DC!!
Babu hujaona post yangu tittled NIMEJIFUNGUA MTOTO WA KIUME?
Yule mshkaji aliniacha nikiwa mja mzito wa 2months, Nimejifungua mtoto kamfanana baba yake balaa.
Na siku zinavyozidi kwenda ndo sura ya baba yake inazidi kuja, mimi sijapata hata pua.
So when ninapomwangalia, i just remember his father.
Ndo maana nasema km una kitu permanent kinachokukumbusha yeye, ni ngumu kusahau.
Babu nimekuletea KITUKUU cha KIUME.
Poleni sana.