dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
Za siku wanajf,
Ni mnamo 20/11/2018 majira ya 11: 26 asubuhi, siku ya jumanne nilipopata taarifa ya kufariki kwa mama yangu mzazi.
Nilipata taarifa nikiwa mkoa wa simiyu wilaya ya meatu kikazi.
Mama yangu alikuwa na umri wa miaka 50+.
Jinsi kifo kipoanzia:
Ilikuwa siku ya alhamisi, alisafiri kwenda kwenye harusi ya mdogo wake wakiume ambye alikuwa anamuoza binti yake siku ya ijumaa.
Harusi ikaisha salama, safari ya kurudi nyumbani kwake kondoa ikaanza, mwanaye wakiume ( mama) akambeba kwenye pikipiki wakaanza safari, kutembea hatua chache tu ujuba ukaning'inia kwenye tairi ya nyuma ukajizungusha kwenye panga za pikipiki, ujuba ukamkaba shingoni hadi pikipiki ikasimama yenyewe.
Akadondoka chini na kuzimia palepale, wakamkimbiza kwenye zahanati ya wilaya , akapata fahamu na kuongea kwa sauti ya chini sana,hali ikaanza kugeuka siku ya jumapili usiku , kumbe mama yangu alikuwa kashaparalize mikono na miguu, sababu walikuwa wakimbeba tu.
Na kitu kingine kilichochangia kifo chake ni kwamba mama alikuwa na pressure, alikuwa akisikia tukio lolote la kuhuzuniaha pressure ilikuwa ikimpanda sana, na baada ya tukio kutokea pressure ilikuwa ikipanda hadi 187.
Na ilipofika 20/11/ 2018 mungu akamchukua.
Nikikumbuka ndo nguzo yangu ilikuwa hii kwa jambo lolote naumia sana.
Mungu amfanyie wepesi katika maisha yake ya kaburini,
Amiiiin.
Karibu tupeane pole kama nawewe ushampoteza mzazi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mnamo 20/11/2018 majira ya 11: 26 asubuhi, siku ya jumanne nilipopata taarifa ya kufariki kwa mama yangu mzazi.
Nilipata taarifa nikiwa mkoa wa simiyu wilaya ya meatu kikazi.
Mama yangu alikuwa na umri wa miaka 50+.
Jinsi kifo kipoanzia:
Ilikuwa siku ya alhamisi, alisafiri kwenda kwenye harusi ya mdogo wake wakiume ambye alikuwa anamuoza binti yake siku ya ijumaa.
Harusi ikaisha salama, safari ya kurudi nyumbani kwake kondoa ikaanza, mwanaye wakiume ( mama) akambeba kwenye pikipiki wakaanza safari, kutembea hatua chache tu ujuba ukaning'inia kwenye tairi ya nyuma ukajizungusha kwenye panga za pikipiki, ujuba ukamkaba shingoni hadi pikipiki ikasimama yenyewe.
Akadondoka chini na kuzimia palepale, wakamkimbiza kwenye zahanati ya wilaya , akapata fahamu na kuongea kwa sauti ya chini sana,hali ikaanza kugeuka siku ya jumapili usiku , kumbe mama yangu alikuwa kashaparalize mikono na miguu, sababu walikuwa wakimbeba tu.
Na kitu kingine kilichochangia kifo chake ni kwamba mama alikuwa na pressure, alikuwa akisikia tukio lolote la kuhuzuniaha pressure ilikuwa ikimpanda sana, na baada ya tukio kutokea pressure ilikuwa ikipanda hadi 187.
Na ilipofika 20/11/ 2018 mungu akamchukua.
Nikikumbuka ndo nguzo yangu ilikuwa hii kwa jambo lolote naumia sana.
Mungu amfanyie wepesi katika maisha yake ya kaburini,
Amiiiin.
Karibu tupeane pole kama nawewe ushampoteza mzazi!
Sent using Jamii Forums mobile app