dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
- Thread starter
- #21
Mungu awarehemuPole sana mkuu,namshukuru Mungu mama yupo mzima ila baba zaidi ya kumuangalia kwenye picha sina njia nyengine.
Mzee wangu kulingana na kumbukumbu nilizopewa alipotea duniani nikiwa na 1½ year akiwa aged 36.
Mungu awarehemu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app