Kwa wale tuliosoma Cuba

Kwa wale tuliosoma Cuba

La Quica

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
1,009
Reaction score
2,315
Wakuu naomba kuuliza.

Hii kauli ya kusoma Cuba ime trend sana mitandaoni. Unfortunately mimi sio mtumiaji wa mitandao sana. Huwa natumia JF na pia JF huwa sio regular user, naweza kupotea miezi hata mwaka ndio nikaja tena kutumia.

Huu msemo wa kusoma Cuba nimekuja kuukuta ila huwa natamani kufahamu chanzo chake ni nani/nini/wapi?

Mwenye kufahamu naomba aniambie.
 
Ni kwa sababu Cuba inasifika kwa Elimu bora ya investigative intelligence.

Hata hivyo, mnamo mwaka Jana Cuba imetambu haki za mashoga hivyo kwa sikuhizi ukisema umesoma Cuba tutakuwa na wasiwasi kama ulifanikiwa kurudi na marinda
Wengine wamesoma kabla ya mwaka jan
 
Ni msemo unaoelezea utashi wa mtu kuelewa/kung'amua kauli za kimafumbo au kauli tata.
 
Huyu jamaa kafumaniwa na mke wa mtu, kitakachoendelea tunaoelewa ni sisi tuliosomea Cuba.

 
Back
Top Bottom