Wengine wamesoma kabla ya mwaka janNi kwa sababu Cuba inasifika kwa Elimu bora ya investigative intelligence.
Hata hivyo, mnamo mwaka Jana Cuba imetambu haki za mashoga hivyo kwa sikuhizi ukisema umesoma Cuba tutakuwa na wasiwasi kama ulifanikiwa kurudi na marinda
Tushaelewa 😂😂Tuliosoma kyuba tushaelewa shida iko wapi hapo.
Huu msemo unachekesha sanaWe kubali tu hujasoma Cuba, wote hatuwezi kusoma sehemu moja.
Binafsi sijawai kuielewa maana yake ila nauona sanaHuu msemo unachekesha sana
Tulosoma cuba ndio tunaelewaBinafsi sijawai kuielewa maana yake ila nauona sana
😄 eleweni tuTulosoma cuba ndio tunaelewa
ngoja waje waliosoma Russia na IsraelWe kubali tu hujasoma Cuba, wote hatuwezi kusoma sehemu moja.
Hao ujuaji mwingi sio kama wa cubangoja waje waliosoma Russia na Israel
Km hajasoma Cuba ni ngumu sana kuelewa maana ya KUSOMA CUBA...Tuliosoma kyuba tushaelewa shida iko wapi hapo.