ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 520
- 1,143
Hela bwana Shetani sana hahahaah, hivi kuna mtu umewahi kukusanya mchango hata wa msiba tu halafu usichomoe hata 10,000 yaaani lazima itakuja kishawishi tu utachomoa sijui kwanini!
Hivi kuna mtu ambaye hajawahi hata siku moja umechangisha hata kuchomoa kidogo?
Hivi kuna mtu ambaye hajawahi hata siku moja umechangisha hata kuchomoa kidogo?