Namba ya babu plsMimi nimeanza kuhudhuria kwa babu nimwezi wa tatu sasa na matatizo yangu yametatuliwa on sport,nilikua nikiandamwa na majanga ambayo yalikua nje ya uwezo wangu ikafikia hatua kwamwezi napata hasara inayozidi kipato kwamaana kwamba badala ya kusonga mbele nikawa narudi nyuma tena kwahatua ndefundefu,baada ya kumpata mtaalam huu ni mwezi wa tatu naelekea mwezi wanne bila majanga hivyo hawa kina Mshana jr wanamsaada wao
Mkuu mi nataka kumloga mtu, kwa nia njema lkn, sitaki kumdhuru.Kama ni kweli hujawahi kukanyaga huko ni vizuri sana! Endelea kushikilia msimamo huohuo ila maisha hayana formula na hujafa hujaumbika
Mimi nimeanza kuhudhuria kwa babu nimwezi wa tatu sasa na matatizo yangu yametatuliwa on sport,nilikua nikiandamwa na majanga ambayo yalikua nje ya uwezo wangu ikafikia hatua kwamwezi napata hasara inayozidi kipato kwamaana kwamba badala ya kusonga mbele nikawa narudi nyuma tena kwahatua ndefundefu,baada ya kumpata mtaalam huu ni mwezi wa tatu naelekea mwezi wanne bila majanga hivyo hawa kina Mshana jr wanamsaada wao
Haya mambo ni ya ajabu, unaweza ukawa na malaria ya kweli, kila wakati naambiwa malaria yapo, ukihama nyumba ukaenda nyumva yenye mazingira yaleyale malaria inatoweka. Ujue mchawi anaweza kutengeneza malaria hata HIV amini usiamini .Ni sayansi ya hali ya juu
Kiukweli mie nilikuwa kati ya watu wazito kuamini hayo mambo!
Kuna kipindi nikawa desperate sanaMume wangu alikua na kesi imelala upande wake,
Basi shogaangu akaniitia babu mmoja, yule babu akasoma wee akachukua maji akayafanyia mambo yake, kisha akaondoka!
Ile kesi iliisha kipuuzi sana
Yule babu aliomba ela ya sigara nikampa 10,000 akarejesha 9,000
Ila mpaka leo sielewi kama ni uganga ama sheria ilimaliza ile kesi
Atakufuata kutaka malipo umpe penalti yake abutue goli mbili tu....
Huyu fortu ni binti Yule wa pale Mwanza kirumba ,milimani ? Au fortu ganiKka ulikiwa mpigaji nini?, na kija Jakob, Fortu, Ivan, Lyambaa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kiukweli mie nilikuwa kati ya watu wazito kuamini hayo mambo!
Kuna kipindi nikawa desperate sanaMume wangu alikua na kesi imelala upande wake,
Basi shogaangu akaniitia babu mmoja, yule babu akasoma wee akachukua maji akayafanyia mambo yake, kisha akaondoka!
Ile kesi iliisha kipuuzi sana
Yule babu aliomba ela ya sigara nikampa 10,000 akarejesha 9,000
Ila mpaka leo sielewi kama ni uganga ama sheria ilimaliza ile kesi
Ndiyo akili yako imejaa hayo?
Pole
Haya mambo ni SiriNawaona tu mnavyodanganya, wengi humu wamezindika nyumba zao ila hawasemi, wapo waliozindika biashara au dawa za kuvuta wateja, hawasemi. Wengine wamepewa dawa za kutuliza wake zao ila wanazuga, hata huko kwenye mpira watu wanaroga mno, ila hawasemi humu. Yapo mengi sana, watu wanahudhuria sana kwa waganga, hasa kipindi hiki cha maisha mminyo. Hebu tufunguke na tuwe wakweli, na si kutudanganya humu wakati wengi wetu ni wahudhuriaji wazuri wa waganga na pia wapo wengi waliofanikiwa hata kwa kuwatoa kafara ndugu na wazazi wao. Wamo humu. Ila wanazuga tuu. Pweza kabisa.
Mimi nshachanjwa sana kipindi nacheza soka, bila hivyo unakuta unacheza mpira kama umebeba gunia la kilo 100.
Haya fungukeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Beberu la EUUkikosa Inbox za kuomba number ya Babu uniite mimi Mabeberu
doneMkuu Nipm tujadili Jambo au nitumie namba zako
Mkuu hebu funguka kidogo, ni mtaalam au ni kitu gn?Chombo kipo hapo Handeni kijiji cha misima
Dada wa kisouth anapitia asubuhi namuweka dawa za tumbo na jioni anapitia tena anaopata dawa ...kwa siku saba...kwa ajili ya kumtoa mikosi na uchawi uliopo tumboni mwake..hiyo ni baada ya kumuwekea yai lenye nywele , damu,nyuzi za nguo,sindano na vipande vya viwembe..yai tunaliunga vizuri na super glue halafu tunaliweka uji wa mshumaa...yaani kazi inafanyika kwa weledi mkubwa na hutojuwa km yai lilikatwa na kuungwa tena...ukija na yale mayai yako tuliyokuagiza...tunakwambiya weka mkono kwenye mayai yale NUIA SHIDA ZAKO...baadae ndy tunakubadilishia moja ktk yale mayai 3....then tunakwambiya uvunje yale mayai ,ndy hapo utakapokutana na yai lenye uchafu wa viwembe,damu,nyuzi za nguo,sindano,Basi hapo ndy anapoanza kuchanganyikiwa MDADA wa watu....kama ni mzuri na unamtaka UMTAFUNE ndy hapo unampa masharti..kwamba sababu karogwa,,na ana UCHAFU ndani ya tumbo la uzazi,inabidi awekwe DAWA ambayo itakuwa inawekwa kwenye UUME wa mwanaume YEYOTE lakini sio MUMEWE au MPENZI wake...unamtengenezea mazingira ya ugumu wa kupata mtu wa kumuingiza dawa. .mwishowe anakwambiya MGANGA NISAIDIE PLZ..ndy hapo dawa inapoanza kuwekwa kwake kwa njia ya MGEGEDO....hadi siku 7 zikifika za doze...mshakuwa wapenzi....hakauki kwa mganga hadi kero..maana nataka nitoe doze kwa wengine yeye anakomaa tu....basi mkuu kuna mengi sn tumepitia ktk kutafuta. Na zipo mbinu nyng za kudanganya watu na sio mganga wa kweli.....uongo tu