Kwa wale tunaoamini katika zama za giza za awamu ya Tano basi Mpina, Makonda na Tundu Lissu ni watu sahihi wa kwenda nao

Kwa wale tunaoamini katika zama za giza za awamu ya Tano basi Mpina, Makonda na Tundu Lissu ni watu sahihi wa kwenda nao

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Binafsi pamoja na mapungufu ya Awamu ya tano ambayo baadhi ya wanasiasa wanakiita kipindi cha giza, bado naamini ndio kipindi ambacho mambo mengi ambayo yalionekana magumu yalianzishwa na sasa yanakamilika tunaona manufaa yake.

Hawa watu niliotaja wana sifa zinafanana sana na hayati Magufuli.

Lakini pia wote wanamkubali hayati katika kuipenda Tanzania na hayati Mwenyewe alishamkubali sana Mpina basi twende na hawa.

Kama wataweza kutuelewa na kufanya jambo kwa pamoja itakuwa vizuri sana.

Muwe na kazi njema


 
Mpina aliyekuwa anaomba rushwa kwa wavuvi wa samaki akiwa waziri? Kila mvuvi alimuomba 10,000,000 au laa anachoma nyavu zake? Mpina aliyekuwa anakukamata ukibeba samaki mmoja kuoeleka zawadi kwa ndugu zako? Huyu ni sifuri kabisa.

Lissu ni dikteta kuliko hata magufuli, hajapata madaraka tu, hata chadema huko wanamuona kero. Huyo aishie getini kubweka akisikia miguu ya mtu inatembea.

Makonda ni hovyo kabisa, nchi hii ataiharibu, anayofanya sasa ni kuweka mtego ili wajinga wamuamini wampe madaraka. Huyu aliyekuwa anagombania ghorofa na GSM? Nini hicho zaidi ya ufisadi? Sasa ndio umkabidhi hazina ya nchi? Takataka kabisa
 
Mpina aliyekuwa anaomba rushwa kwa wavuvi wa samaki akiwa waziri? Kila mvuvi alimuomba 10,000,000 au laa anachoma nyavu zake? Mpina aliyekuwa anakukamata ukibeba samaki mmoja kuoeleka zawadi kwa ndugu zako? Huyu ni sifuri kabisa.

Lissu ni dikteta kuliko hata magufuli, hajapata madaraka tu, hata chadema huko wanamuona kero. Huyo aishie getini kubweka akisikia miguu ya mtu inatembea.

Makonda ni hovyo kabisa, nchi hii ataiharibu, anayofanya sasa ni kuweka mtego ili wajinga wamuamini wampe madaraka. Huyu aliyekuwa anagombania ghorofa na GSM? Nini hicho zaidi ya ufisadi? Sasa ndio umkabidhi hazina ya nchi? Takataka kabisa
Usipende kuamini sana propaganda
 
Mpina aliyekuwa anaomba rushwa kwa wavuvi wa samaki akiwa waziri? Kila mvuvi alimuomba 10,000,000 au laa anachoma nyavu zake? Mpina aliyekuwa anakukamata ukibeba samaki mmoja kuoeleka zawadi kwa ndugu zako? Huyu ni sifuri kabisa.

Lissu ni dikteta kuliko hata magufuli, hajapata madaraka tu, hata chadema huko wanamuona kero. Huyo aishie getini kubweka akisikia miguu ya mtu inatembea.

Makonda ni hovyo kabisa, nchi hii ataiharibu, anayofanya sasa ni kuweka mtego ili wajinga wamuamini wampe madaraka. Huyu aliyekuwa anagombania ghorofa na GSM? Nini hicho zaidi ya ufisadi? Sasa ndio umkabidhi hazina ya nchi? Takataka kabisa
I think una personal issue na pinata,mana every uzi mzee lazima unakuja na shutuma.by the way I simjui mpina in person ukiachana na kumfaham kama ni mbunge ila naona kama unasema alidai rushwa mil 10 kwa wavuv naona kama chai vile, mwandamiz mzima hawez kuji expose hivo believe me,kama mwandamiz labda junior ndio unaweza kuacha trails kiajabu ajabu. Sio kweli braza naona kama unamdiss tu
 
Mpina aliyekuwa anaomba rushwa kwa wavuvi wa samaki akiwa waziri? Kila mvuvi alimuomba 10,000,000 au laa anachoma nyavu zake? Mpina aliyekuwa anakukamata ukibeba samaki mmoja kuoeleka zawadi kwa ndugu zako? Huyu ni sifuri kabisa.

Lissu ni dikteta kuliko hata magufuli, hajapata madaraka tu, hata chadema huko wanamuona kero. Huyo aishie getini kubweka akisikia miguu ya mtu inatembea.

Makonda ni hovyo kabisa, nchi hii ataiharibu, anayofanya sasa ni kuweka mtego ili wajinga wamuamini wampe madaraka. Huyu aliyekuwa anagombania ghorofa na GSM? Nini hicho zaidi ya ufisadi? Sasa ndio umkabidhi hazina ya nchi? Takataka kabisa
Ushahidi uko wapi lumumba?
 
Back
Top Bottom