Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hiyo nakumbuka ilinikuta safari moja ya mwanza , aisee balaa lake halikua dogo, sijawahi zoea hiyo kitu kabisa.last month bombdier ilishindwa kutua bk sbb ya hali ya hewa mixa kukutana na dhoruba, dada nlokaa nae pembeni alikuwa anapiga sala mwanzo mwisho[emoji3][emoji3]
Kuna mambo huwa natamani yabadililshweHakuna kitu kinatisha kama ndege inapoanza kupaa aisee.
Yaani unaona tu majengo yalee kama viberiti.
Nakumbuka kuna safari niliwahi kukacha kurudi na ndege nikapanda basi.
Ile kitu acha tu.