Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Mbinu Gani za kivita? Unataka uelekezwe namna ya kukwangua jungu kimyakimya wakiwa wamelala usiku?Kuna mda unaweza kwenda Kwa ndugu kuwasalimia iwe likizo au kutalii mji ila bahati mbaya wakawa wanachumba kimoja tu na sebule hivyo ukaambiwa utakuwa unalala sebleni na watoto wadogo pale.
Sasa wale wahanga njooni mtuambie ukitaka kwenda bafuni kuoga unafanyaje, na vipi ukitaka kubadilisha nguo ilihali pale sebleni ni vurugu tupu majirani hawakatiki Kuja kuangalia movie ya huba na chakorii View attachment 2643377
Hhhahaha njoo nipo apa kijiji cha huziMimi Nilienda Kijiji Kimoja Kinaitwa Ilangali Karibu Na Manda Kwa Babu Mwaka Jana..Aisee..Babu Alikuwa Anaingiza mademu Usiku..Nilikaa Siku 4 ya tano Nikasepa Kurudi Zangu Manda.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unalala sebuleni kwani wewe ni Tv?