Kwa wale tunaosubiri ajira awamu ya pili

kireri jr

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2014
Posts
227
Reaction score
42
Habar zenu ndgu zangu. napenda kuwafahamisha kile nilchobahatika kukisikia leo kutoka katika chanzo changu cha uhakika. MAJINA NDO YALIKUA YANAPANGWA LEO HIVYO SWALA LA AJIRA LINGALI LIPO JAPO SIKUFANIKIWA KUJUA NI LINI POST ZITATANGAZWA RASMI. Tusikate tamaa wahanga wenzangu MUNGU YUKO MBELE YETU
 

Asante kwa taarifa mkuu mungu awatupi waja wake
 
Asante kwa taarifa mkuu mungu awatupi waja wake

ni kweli mkuu kwa mungu hakuna linaloshindikana. kama pia kuna wahanga au mtu yeyote ambae ana watu wa kuaminika huko wizara ya elimu na tamisemi wajaribu kuwauliza na kuweka majibu humu ili tuweze kua na uhakika zaidi
 
mh! kwenye blue hapo ndio pananchangaya hicho chanzo chako kinahusika na TAMISEMI kabisa ??maana naona kama wanatofautiana hawa watu au sijui wanatudangaya !!!maana mie nlienda jumamosi TAMISEMI ya hapa dodoma wakanambia majina yalisha andaliwa kinacho subiriwa ni ruhusa kutoka hazina na wakanambia inaweza kupatika na baada ya budget kuisha yaan mwezi wa saba au wanane mwanzon sasa hii kitu tena dah!! full kuchanganyana
 
kwakweli tunashukru kwa nyepesi hzo..ila serikali haieleweki.
 

chanzo changu ni cha kuaminika mkuu. ni sawa unavyosema kua ulienda TAMISEMI DODOMA JUMAMOSI Na uliambiwa kua majina yalikua yameshapangwa tayari ila usiwaamini wale wafanyakazi pale mana wao wanachofanya ni kuhakikisha wanakupa jibu ambalo litakufanya uridhke kwa kiasi ili tu umuondolee usumbufu ofisini kwake. mi binafsi nilishawah kwenda TAMISEMI DAR Na niliambiwa kua niwe na subira ndani ya wiki moja ajira zingekua tayar na ilikua tar 20 mwez wa 3 ebu fikiri ndgu hvyo wale hawaaminiki kabisaj
 

Mkuu awa jamaa wa TAMISEMI wanaumiza sana vichwa kwa majibu yao kila mtendaji pale ukienda ana jibu lake sijuwi mpaka lini yatatoka.
 

Asante sana mkuu.
 
wanaajiriwa lini hawajaweka waz zaid. ebu funguka coz wengne tuko shamba hatuna uwezo wa kulpata

Hawajasema Lini,, Ila Wamesema Wataajiri Walimu 2219,na wataweka majina kwene tovuti ya wizara hivi karibuni.....
 
nikweri gazeti la habari Leo la tarehe 4/6/2014 limezungumzia swara hill kuwa watahajiri walimu zaid ya elfu mbili kwaiyo siku yoyote yatatolewa hayo majina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…