Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Hivi ww dada hujaona vijana wenzako mpaka umchukue mume wa mtu? Nilishakwambia utakuja kukojoa dagaa siku moja we endelea tu.
Lazima una mapungufu kibao ...mwanamke wa ukweli huwezi kuwa spare tire lol...huhitajik ni mpaka itokee burst etcKama wanalipa je?
Lazima una mapungufu kibao ...mwanamke wa ukweli huwezi kuwa spare tire lol...huhitajik ni mpaka itokee burst etc
yani point za muhimu sana mambo ya mkeo hukohuko mimi yananihusu nini kula mziko chapa lapa
Nyumba K..Umenifanya nicheke lol...haa haah haaaa umeona eeeeeNakiri kuwa nilikuwa najua usemi wa spare tire lakini sikujua unamaliziwaje. Kumbe haliitajiki mpaka itokee pancha au burst. JF imenifundisha mengi.
Kama dini inaruhusu c akuoe tu? Kwa nn uitumikie na kuisifu dhambi namna hio. Usolipenda kufanyiwa nawe usifanyie wenzio. Na ukae ukijua yatakurudia tu!Uzoefu unaonyesha mabinti wengi sana wanapenda kutembea na waume za watu, aidha sababu ya maslahi ama wakati mwengine kunakuwa na mapenzi ya kweli. Yani you happen to fall in love with somebody's husband. Mimi ni mdau pia ninae mume wa mtu.
Ila kuna kitu kimoja huwa kinauma sana wakati uko sasa na mpenzi wako (Mume wa mtu) ana anza mashauzi mara aaa
1. Jana nilienda na mama dinner
2. Mara jana nilivyokuwa home sijui wife kasema hivi
3. Mara sijui ngoja wife ananipigia
4. Mara sijui wife kasafiri
Acheni kupiga story za wake zenu kwani wakati unakuja kwangu hukujuwa kama una mke. Mkomeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Uzoefu unaonyesha mabinti wengi sana wanapenda kutembea na waume za watu, aidha sababu ya maslahi ama wakati mwengine kunakuwa na mapenzi ya kweli. Yani you happen to fall in love with somebody's husband. Mimi ni mdau pia ninae mume wa mtu.
Ila kuna kitu kimoja huwa kinauma sana wakati uko sasa na mpenzi wako (Mume wa mtu) ana anza mashauzi mara aaa
1. Jana nilienda na mama dinner
2. Mara jana nilivyokuwa home sijui wife kasema hivi
3. Mara sijui ngoja wife ananipigia
4. Mara sijui wife kasafiri
Acheni kupiga story za wake zenu kwani wakati unakuja kwangu hukujuwa kama una mke. Mkomeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Nakiri kuwa nilikuwa najua usemi wa spare tire lakini sikujua unamaliziwaje. Kumbe haliitajiki mpaka itokee pancha au burst. JF imenifundisha mengi.
inawezekana wa kwako akiwa nje anasahau kabisa kama nyumbani ameacha mke. Lol.
kumbuka ya GX inakaa chini ya gari, vumbi lake, tope lake hadi pancha itokee..... wengine wanawaita majeruhi, ni majeraha mtindo mmoja,
wanaume wote wangekuwa hivi,sipati picha