Kwa wale tunaotembea na waume za watu

Kabisaaa mkuu naunga mkono hoja.

Kidude chenyewe hata robo kilo haitimii;
Lakini ni fundisho kwa wanaume wenye tabia ya kujenga nyumba ndogo, pesa inaliwa na hivi vinguchiro, vikishashiba vinaingia Jf na kuanza kurusha vijibomu!
 

Umenena Mkuu hususani hapo kwenye red.
 
Wote wawili mkome. Wewe: kuchukia mwanamke mwenzio kupendwa na mumewe (anaekupenda atakutaja taja hasa kwa mazuri).
Yeye: akome kutothamini uwepo wako na kumwaza mkewe. Ila wewe ndio ukome zaidi ujue.
Husn mambo? Za idodomya?
NiPM basi nisikie sauti yako.
 
Ukiwa unatembea na mke/mume wa mtu mwisho wa siku na wewe watu wakufanyia tu
 
Kidude chenyewe hata robo kilo haitimii;
Lakini ni fundisho kwa wanaume wenye tabia ya kujenga nyumba ndogo, pesa inaliwa na hivi vinguchiro, vikishashiba vinaingia Jf na kuanza kurusha vijibomu!

Hiyo bluu nimecheka kwa nguvu mpaka mkoloni kanishangaa umenikumbusha mbali sana mweee
 
hahahhahhah NOT ENOUGH uko juu saaaana, kama kawaida ye2 wabongo unafiki mwingiiiiiiiiiiii wakati tunakulana kama kawaida Baelezeee. Me nikiwa na mchezaji wa reserve kama ww nitajitahidi kuzingatia ushauri wako. Senkyu
 
A very interesting thread,mwanzoni ilikuwa full kujivungavunga na kujidai mmu hakuna anayekiri ni nyumba ndogo,baadae mkaanza kujilipua akianza Darlingtone,kisha akaja Serafina,leo naona Kongosho,Not Enough na Bichwamaji naona nao wameamua kumwaga razi,i am sooooooooo happy about this development.Kidogo kidogo mmu kina mama mnaanza kujivua kanzu la unafiki linapokuja suala la uhawara.Ahsante sana NE kwa uzi huu,5 down,4995 to go!
 
N.E mwingi wa matukio. umepotelea wapi? threads kama hizi zilikosekana huku kwa kipindi kirefu. karibu sana endeleza jadi NE
 

huu upuuzi unaandika hapa ili iweje?
 
Una uhakika kuwa kongosho ni she? Mi naona anachangia kama she mara kama he. Ona mchango wake huu hapo chini

Mke wangu akiniacha sababu ya bold najua kweli asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
Kwa kifupi ni kichwa panzi bora tu nimwache na wanangu wasije wakarithi ukichwa panzi wake


Tukirudi kwenye mada; kuwa wazi hapa JF au kuficha hakufanyi issue ya ukimada na uzinzi kuwa halali. Sioni sababu ya kuwasifu hao the so called open ladies. Wao ni vimada na jamii itaendelea kuwapinga kwa sababu HAIKUBALIKI! It doesn't matter who says what. Kinacho matter ni kilichosemwa. Wewe mwanao akwambie baba siku hizi nina mabuzi sita utampongeza kwa UWAZI???​



 

One of the two can be the reason yaa yeye kukupa story za my wife wake:
1. Inawezekana anakuona wewe ni wa kupozea tu, or
2. Anajihisi hatia na aibu kutembea nje ya ndoa na hapo anataka kujifanya kwamba ingawaje anatembea nje ya ndoa, lakini mke wake wa ndoa anampenda! Hapo anataka kusingizia ile ki2 inakimbiliwa na waasherati na wazinzi kwamba "ni shetani tu kanipitia...!" Anataka kukujenga kisaikolojia uamini hivyo hata kama c kweli.....na kwamba ili hata ikitokea ukakutana na mke wake (kama unamfahamu) basi uwe na adabu kwake kv anampenda!
Hata hivyo, namba 2 inaweza kuwa ndio sababu kuu!
 
Mi huwa sijivungi, ndo maana nashangaa wanaomuua NE, hizo small house zimekuwa wanyama siku hizi?
Kila mdada astakafurullah!
Kuanzia mwanzo sikumpinga NE, rudia my comments utaona

 
hayo ni ya lazima kwasababu ni mke wa mtu. na ujue kwamba mke wake anampenda zaidi yako ndio maana anafanya hivyo lakini story zako hawezi siulia kwa mke wake
 
Nyumba Kubwa, uzinzi hauwezi halalishwa hata siku moja.
Hapo kazini kwako, ukipiga dili, sio dili ni WIZI, nao hauwezi halalishwa
Hakuna DHAMBI yeyote duniani inaweza halalishwa

Swali la kujiuliza, hatupigi madili ofisini tena tunatoka kifua mbele tukijisifu tuna akili?
Wanaume wana nyumba ndongo, inaeleweka siku zote, je hizo nyumba ndogo si wanawake kama NE aliyekuja clean na kusema ni nyumba ndogo?

Cammon katika hii dunia ya leo, kuna vitu hata kama si halali lakini vipo.
Ni hadi utakapokubali kitu fulani kipo, ndio utaweza kutafutia suluhisho.
Dont you know how to dig details? Mponde mtu kama utapata juisy details siku zote, utaambiwa rasha rasha.

Tena kwa wewe ambaye ni mama una watoto you should know better jinsi ya kuwafanya watoto wako waongee kweli ili uweze jua unaplay part gani, no matter how siriaz alichokifanya.
Ukiwa mkali siku zote watoto hukata kauli na kuwa MUTE, pata details za kutosha then toa adhabu.

Kanda ya ziwa husema, jifunze kumla samaki kuanzia mkiani.

 

Ur sense of humour is way up the scale lol!
Yule aliyekula kiboga unadhani kakuweka kwenye kundi gani?
Kwa taarifa yako lijamaa halithubutu hata kudokeza tigo kwa mkewe.SHAME ON U!
 

Ingawa naamini kabisa kuna wanawake walio na ndoa wanaocheat na hata wengine single wanatembea na waume za watu, bado siamini kama Kongosho ni mwanamke. Naungana na nyumba ndogo, Kongosho ni mwanaume. Kaona NE anashambuliwa sana akaamua kuinunua kesi. Wanawake tumeumbwa na aibu fulani, hivyo Bishanga wenzetu wanaofanya matendo hayo kukiri inakuwa shida. Kama ambavyo Kongosho kasema kwenye research yake hapo juu. Kidogo naamini NE kuwa ni mwanamke kwani baada ya kusakamwa aibu ya kike ikamjia na akaamua kuingia mitini. Hivyo Bishanga usijipongeze kwa kusema idadi ya wanawake wanaokiri uzinzi inaongezeka, wengine tuna wasiwasi siyo wanawake. Wameamua kutudhalilisha tu kwa kutumia opportunity ya IDs zao ambazo hazionyeshi jinsia yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…