Kwa wale vidume mliowahi kutongozwa na mademu, na mkachomoa/mkakataa, mlikataaje!!!?

Kwa wale vidume mliowahi kutongozwa na mademu, na mkachomoa/mkakataa, mlikataaje!!!?

wengi wao wanaonitongoza...hawana figure (hawavutii)
 
Kipindi hiko niko kadogo kuna mdada alikuwa kanizidi kam 4 yrshivi tena dada ake best angu akaomba mgegedo nikakataa kiroho safi..nikiwa sec. form one demu kanitaka katuma rafk ake nikamchana sitaki...sec nilikataa mara mbili
 
Back
Top Bottom