Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuchezea na kukuacha,teh teh tehMi nakataaga sana tu maana wanawake wa siku hizi wanakutumia tu na kukuacha.
Pole sanaBinafsi nlishawahi kutongozwa na Mademu/Wanawake ila kukataa ndo nashindwaga, je wakuu amboa mmekutwa na hili mliwezaje kukaza/kukataa!!!??
DuuhNilisha wahi kutongozwa na demu hadi leo sijamkubalia ila demu ni mkali nilimjibu tu ajitunze nitakuja kukuoa kama Mungu kapanga tuwe wote itakuwa hivyo.....
HahahaAsilimia kubwa ya wanaonitongoza huwa hawana chura ni rahisi kwangu kuchomoa...halafu kwa sifa namuonesha manzi wangu sms
DuuhMi nakataaga sana tu maana wanawake wa siku hizi wanakutumia tu na kukuacha.