Kwa wale vidume mliowahi kutongozwa na mademu, na mkachomoa/mkakataa, mlikataaje!!!?

wengi wao wanaonitongoza...hawana figure (hawavutii)
 
Kipindi hiko niko kadogo kuna mdada alikuwa kanizidi kam 4 yrshivi tena dada ake best angu akaomba mgegedo nikakataa kiroho safi..nikiwa sec. form one demu kanitaka katuma rafk ake nikamchana sitaki...sec nilikataa mara mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…