Kwa wale wa jitegemee na ilboru.

Kwa wale wa jitegemee na ilboru.

bily

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
8,029
Reaction score
5,796
Kwanza kabisa niwape pole sn madenti wanaosongoka leo nataka niwakumbushe maeneo fulani na majina kwa kila shule nilizopita nianze na ILBOYZ majina km Golgota pale mtiani inakofanywa, doms km kibo kilikua kikisha no 1 kwa usafi ,mawenzi n.k bustani ya mbogamboga pale, 2kiumwa 2naenda kaloleni dispensary, nane nane njiro, aisee nimepamis ilboru. 2rudi jiteute smart area, makuti hall, oficers mess ,canteen kubwa unapata mihogo na kila aina ya chakula na maafande wakuda wakikupata unakula wakati wa class aisee ni nouma ongezea zingne km unajua. NAPENDA ILBORU NAPENDA JITEGEMEE KM NAVOPENDA DAR NA ARUSHA
 
Ulianza ilboru ndio ukaenda jitegemee au jitegemee ndio ukaenda ilboru?
 
Kwanza kabisa niwape pole sn madenti wanaosongoka leo nataka niwakumbushe maeneo fulani na majina kwa kila shule nilizopita nianze na ILBOYZ majina km Golgota pale mtiani inakofanywa, doms km kibo kilikua kikisha no 1 kwa usafi ,mawenzi n.k bustani ya mbogamboga pale, 2kiumwa 2naenda kaloleni dispensary, nane nane njiro, aisee nimepamis ilboru. 2rudi jiteute smart area, makuti hall, oficers mess ,canteen kubwa unapata mihogo na kila aina ya chakula na maafande wakuda wakikupata unakula wakati wa class aisee ni nouma ongezea zingne km unajua. NAPENDA ILBORU NAPENDA JITEGEMEE KM NAVOPENDA DAR NA ARUSHA

pamoja sana kaka...ila mm naipenda sana jitegemee koz ndo maskull nliyomalizia fom six na kutoka na division ya kufa mutu....i love yuuuuuu jiteute..jitegemeee secondary skul i praise u,jitegemee secondary skul i love yuuu
 
School song!
Ilboru ni moja kati ya shuleeee
maaalum.........
Ipo wilaya ya Arumeruuuu...
Mkoa Arushaa.
Ipo kandoo kando ya mlima wetu wa meeruu
Mungu ibariki shule ilboruuu
mooto wa shule yetuuu
elimu kwa huduumaa, hakii upeendoo bidiii pia na umoja elimu tunayoipataa ni endelevuuu
kinadharia na kiviteendo...
Miradi ya shuleee.....?



Ah! Unanikumbusha mbali kakaaa
kitu cha tego-tv
kitei-pilau
wamenye-non students,
mzee wa rum 7 enzi hizo!
Basi madarasa ya pcm pale baridi kaliiiiii.
I LUV U ILBORU!
 
Aisee, tusipokuwa makini heshima ya JF itamomonyoka very soon.
 
Mkuu Andazi nafikiri wewe ulisoma Ilboru miaka ya hivi karibuni, wimbo wa shule enzi hizo tulikuwa tunaimba hivi;

"Shule yangu Ilboru inasifika sana......
Popote ninapoenda inasifika sanaa.....
Kujitegemea kwake inasfika sanaa...
..............Shule yangu nakupenda"

Ng'ande=Kande
Katara=Gari la Shule (Isuzu STG....)
Pitch=Uwanja
Sketi= Wasichana

Enzi hizo hapa unamkuta Chief (RIP), pale Shembilu (RIP) halafu hapa Mgaya (RIP).

I miss Ilboru


Ah! Unanikumbusha mbali kakaaa
kitu cha tego-tv
kitei-pilau
wamenye-non students,
mzee wa rum 7 enzi hizo!
Basi madarasa ya pcm pale baridi kaliiiiii.
I LUV U ILBORU![/QUOTE]
 
Visitors chair napakumbuka saana hapa....
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1359954534188.jpg
    uploadfromtaptalk1359954534188.jpg
    83.1 KB · Views: 53
Ilboru ndo nasikia mnaongoza kwa kutoa viongozi wala rushwa, eti kweli?
Anzeni kutajana mafisadi mnaojuana mlikua wote Ilboru.
Hata Baba naniliu Vasco Da Gama nae eti naskia alipitiaga mitaa hiyo, eti kweli?
Fungukeni

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ilboru ndo nasikia mnaongoza kwa kutoa viongozi wala rushwa, eti kweli?
Anzeni kutajana mafisadi mnaojuana mlikua wote Ilboru.
Hata Baba naniliu Vasco Da Gama nae eti naskia alipitiaga mitaa hiyo, eti kweli?
Fungukeni

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Si kweli,baba nanii hakuwahi pita huko,ila watu makini kama kina lissu ndio wamepita pande
hizo.
 
Back
Top Bottom