dee da hustler
Senior Member
- Aug 11, 2012
- 100
- 7
ofcourse,hapa tz kama hujasoma kwenye moja kati hvi vyuo vitatu udsm,sua na muhimbili.huwezi nawe kujiita eti umesoma chuo,elewa tu kuwa ulikua unapoteza muda wako.over
Ushaambiwa kwa wale wa UDSM we kama vyuo vya kata tuliza boli.......
:wave::wave:
Wew vpy! Hvi unajielewa kwely! R u okey! T themes yo not okey,at ol! Mh! Uko umezibuka cjui! Bychwa maji wew! Hujui then unajifanya wajua!
jamani namwombea mkuu perry msamaha kwa alichosema hakika sisi sote ni binadamu na tuna mapungufu pia tujue kuna maisha baada ya chuo tena magumu sana,mi nakumbuka tulivoingia udsm tulionekana wa maana sana huku tukibeza vyuo vingine ila ilikua ni utoto tu kwani baada ya chuo kitaa kugumu na aichagui kama umesoma SAUT,RUCO,CBE WALA UDOM.
Duh huyu jamaa wawapi?? Hujielewi aisee na umebahaatisha kuwa hapo maskini pole sana.. Kwa taarifa yako sisi wengine udsm tulikataa wenyewe na sasa hivi tunakula bata mtaani.
Ushamba unakusumbua tu,ni kweli sikusoma hivyo vyuo ulivyovitaja lakini niko mbali mno.Maliza chuo,halafu ndiyo utajua kama ulimbukeni utakusaidia.
Muanzisha mada unatuchafulia cv zetu udsm alumni,bila shaka ulienda UDSM kibahati na hauamini mpaka leo',na i get ths filng ur nt from UDBS wala COET ila ktk ile facault karibu na kwa mama Ntilie...
Tena watch ur tongue usîpende kujifanya mjuaji wew à wa kwanza kusoma UD na hautokua wa mwshô,ucpônde ùyuo vngne badô mdôgo kijana haujuî yajîyôpo afta chuô...
Jîbu watu vîzuri uctuharibie sîfa na cdhani kama utapona Sept conference wewe
ARIS ndo nini..??