Kwa wale wa Udsms

Kwa wale wa Udsms

Underdog

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
343
Reaction score
444
Hivi GPA ya mwisho(inayoonekana kwenye cheti cha kuhitimu chuo) huwa wanachukua ya mwaka wa mwisho(wa nne/wa tatu) au huwa wanaanza kuhesabia kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa mwisho then wanatafuta average
 
Hivi GPA ya mwisho(inayoonekana kwenye cheti cha kuhitimu chuo) huwa wanachukua ya mwaka wa mwisho(wa nne/wa tatu) au huwa wanaanza kuhesabia kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa mwisho then wanatafuta average

Wanaanza kuhesabu mwaka wa kwanza
 
Hivi GPA ya mwisho(inayoonekana kwenye cheti cha kuhitimu chuo) huwa wanachukua ya mwaka wa mwisho(wa nne/wa tatu) au huwa wanaanza kuhesabia kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa mwisho then wanatafuta average
chukua average ya miaka mnne
 
Mfano: umepata A B C masomo ya miaka yote mitatu, A ni 5, B ni 3 na C ni 2 na masomo yote mf yana unit3
Wanachukua jumla ya (unit X grade) gawanya kwa jumla ya unit

Sasa hapo utakuwa na (5*3)+ (3*3)+ (2*3) =30
Chukua 30 gawanya kwa jumla ya unit ambazo ni 9 kwa hayo masomo matatu yenye unit 3 kila moja

Unapata GPA 3.3
 
Back
Top Bottom