Kwa wale wadada wote walio single tukutane hapa

Kwa wale wadada wote walio single tukutane hapa

Huyu mtoa mada nilijua ni baharia .Gudume mwenzetu


Embu muwe basi mnatumia majina ya kirembo zaidi kwenye I'd zenu kama huyo wa juu kabisa ukiachana na hao wawili waliepost comments juu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Au mfano huyo aliepost chini yangu [emoji116]
 
Back
Top Bottom