osmaney
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,042
- 998
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hi
hivi kwa mfano dada ambae ni mzuri hivi anaweza kuwa single kweli, acheni utani bwana!!!
Baharia apaHuyu mtoa mada nilijua ni baharia .Gudume mwenzetu
Embu muwe basi mnatumia majina ya kirembo zaidi kwenye I'd zenu kama huyo wa juu kabisa ukiachana na hao wawili waliepost comments juu yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Au mfano huyo aliepost chini yangu [emoji116]
Nimetega hapa siambulii kitu, nimeona wawili tu ambao mmoja nishamla kwa ID yangu ile nyingine... hebu mukuye mukuye singo ledisi. [emoji39][emoji39][emoji39]
Me gudume mkuuKumbe na wew osmaney ni mdada. Nilidhani gudume gwa mbegu
[emoji1787][emoji23][emoji1787],nilijua demu,badili hiyo Avatar yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha yangu umeiba wapi? Tabia mbaya sanaHabari wanaJF
Lengo la huu uzi ni kukutanisha wadada wote ambao wapo single
Wakituelezea moja mbili tatu kuhusiana na usingle wao
Karibuni!!View attachment 1416132
Sent using Jamii Forums mobile app
Now nimepata.
Picha yangu umeiba wapi? Tabia mbaya sana
Sent From Galaxy S9
Unabisha? Kwani mimi unanijua?
Unabisha? Kwani mimi unanijua?
Sent From Galaxy S9
Babe hadi wewe huwa unasema uko single wakati tupo wote? DoohWadada wote huwa wanasema "taken"
Kama ilivyo kwa wajuba duniani kote huwa "single"