Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Wadau mbalimbali wanaopenda kwenda kutembea Beach inabidi wajue ratiba ya kupwa(Low tide) na kujaa(High tide).
Kwa Tanzania tuna vipindi 4 vya maji kujaa na kutoka kwa siku, hivyo inabidi ujue muda utaokwenda beach kutakua na hali gani.
Hii unaweza ukapakua mtandaoni ya mwaka au ya siku utasearch "Dar es Salaam Tide Table".
Kwa Tanzania tuna vipindi 4 vya maji kujaa na kutoka kwa siku, hivyo inabidi ujue muda utaokwenda beach kutakua na hali gani.
Hii unaweza ukapakua mtandaoni ya mwaka au ya siku utasearch "Dar es Salaam Tide Table".