waukweli100
Senior Member
- Aug 18, 2014
- 193
- 24
natafuta mzamini ambae atanipa bidhaa nikauze mozambique kwa bei ambayo atanipangia yeye then mi nitajua niuze bei gani ili nipate faida,bidha ambazo m2 anaweza kunidhamini ni simu,viatu,saboofer,nguo,wax,viatu vya kimasai,vifaa vya simu nk kwa yeyote anatoa mzigo nje ya nchi anisaidie kwa hilo,na nipo tayari tukaandikishane popote utakapotaka,namba yangu ni 0718375766
mi nipo mozambique naombeni niwe kama wakala,au msambazaji wa biashara kwa wewe utakaependa,kwa mimi tatizo ni mtaji ila huku kuna fursa nyingi sana za biashara namba yangu ni +258866131115 call or whatsupp
Natafuta mdhamini ambae atanipa bidhaa nikauze Mozambique kwa bei ambayo atanipangia yeye then mi nitajua niuze bei gani ili nipate faida, bidha ambazo mtu anaweza kunidhamini ni simu, viatu, saboofer, nguo, wax, viatu vya kimasai, vifaa vya simu nk kwa yeyote anayetoa mzigo nje ya nchi anisaidie kwa hilo na nipo tayari tukaandikishane popote utakapotaka, namba yangu ni 0718375766