waukweli100
Senior Member
- Aug 18, 2014
- 193
- 24
Natafuta mdhamini ambae atanipa bidhaa nikauze Mozambique kwa bei ambayo atanipangia yeye then mi nitajua niuze bei gani ili nipate faida, bidha ambazo mtu anaweza kunidhamini ni simu, viatu, saboofer, nguo, wax, viatu vya kimasai, vifaa vya simu nk kwa yeyote anayetoa mzigo nje ya nchi anisaidie kwa hilo na nipo tayari tukaandikishane popote utakapotaka, namba yangu ni 0718375766