Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,788
Ni miaka ya 2006 kushuka chini nilikuwa naletewa Sana haya majarida na mjomba wangu .Haya majarida to be honestly yalikuwa yanafundisha kujikinga na ukimwi lkn kwa upande wangu mm ilikuwa tofauti yaliniamasisha kujuanza mapenz very sadness to me . Na yaliniaminisha punyeto kuwa ni sahihi na haina madhara yakika nilipotoshwa nitawalaumu hawa waandishi wa majarida haya
Na wewe share chochote kuhusu Fema ni mwaka gani na kipi unakumbuka kuhusu enzi.
Na wewe share chochote kuhusu Fema ni mwaka gani na kipi unakumbuka kuhusu enzi.