Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni miaka ya 2006 kushuka chini nilikuwa naletewa Sana haya majarida na mjomba wangu .Haya majarida to be honestly yalikuwa yanafundisha kujikinga na ukimwi lkn kwa upande wangu mm ilikuwa tofauti yaliniamasisha kujuanza mapenz very sadness to me . Na yaliniaminisha punyeto kuwa ni sahihi na haina madhara yakika nilipotoshwa nitawalaumu hawa waandishi wa majarida haya
Na wewe share chochote kuhusu Fema ni mwaka gani na kipi unakumbuka kuhusu enzi.View attachment 1709063
Waliniharibia ratiba zangu za uzazi nilizozipanga enzi niko baloziIla wanaume walikufanyia nn Mbona unatutupia lawama Madame kama nakuona vile hapoView attachment 1709109
Noma kweliBaharia kakumbatia ntu nne kwà pamoja
Hahahahahahha vilikusajili chamani sio tunayofuraha kuwa na ww kwa Wakat wote wa utumishi wako katika ChamaMajarida ya " si mchezo" fema,, na Vijarida flan vidog hiv
Miaka ya 2009,10,11, 2012
Viliamasisha Sana nikaona punyeto Haina madhara ,
Pia nilikuw napenda story picha, na lyrics za nyimbo
Kulikuwaga na jamaa mmoja kwenye jarida la Fema alikuwa anaitwa Pascal huyu mwamba alikuwa mademu wanamkubali kinouma class sasà nilikuwa napenda Sana kusoma hii story ya huyu jamaa jinsi anavyotongoza madem akawa kama role model wang alikuwa anaipa monkar nikitoka kusoma ni bafuni au chooni daaadeqTo be honest, haya majarida ya Fema yalikuwa na picha nzuri za madem wakali. Yalikuwa yanani-refresh Sana kuanzia SAA 7 mchana primary school!!!
Maisha yanasonga kimtimdo.Hahahahahahha pole Sana Madame yaani mpaka ww leader wa taratibu za uzazi walikuangusha kweli wanaume kiboko anyway pole lkn vp maisha siyanasonga au