...teh hee heeUlikuwa mdogo sanaaaa!
😀😀😀😀😀😀
Michael Jackson standing on the wall bado Lione Ritchie get down on it
...hahahahahaUnapona kwa muda, unacheza muziki, ukiisha ndo unakumbuka kumbe unaumwa na mlikuwa mnaenda hospital.
Yaani mama alivyorudi aliniwasha balaa, maana alipita pale akaambiwa nimecheza then nikaondoka.
Mkuda unacheka ???...teh hee hee
Papa Wemba mimi nilikuwa napenda ile NAOGOPA MKOROGO.....1. TP Ok Jazz ya Rwambo
2. Viva la Musica ya Papa Wemba
3. Wenge Muzic BCBG 4x4
4. Empire Bakuba - Pepe Kale, akiwa na kina Emoro, Papytex etc
5. Kanda Bongo Man, huyu sikumbuki kundi lake lakini kuna mwaka alikuja na song la Mama Nabela, shika matiti na mwana, ai ai...
6. Bozi Boziana
7. Mbili Abeli (Mama yangu alikuwa anampenda huyu mama si mchezo, mpaka ikipigwa song lake lazima nyote mkae kimya aimbe mama tu kuufatishia muziki)
8. Baadae walikuja kina Extra Muzica, nakumbuka Oxygene na Roga Roga ndo walikuwa viongozi wa kundi.
Kila mwaka tulikuwa tunakaa kusikiliza nani katoa album nzuri, nani kafanya video nzuri, nani kafunika, mpaka baadae ukaja Mtindo wa Ndombolo (1996) ambao kila bendi karibia iliuimba, nakumbuka Wenge BCBG walifunika sana mpaka ikawa mwanzo wa kuvunja makundi.
Old is Gold.
Aaah kweli we MuhengaKRS One na Big Daddy Kane hukuwakubali?
...mkuu enzi hizo ujamaa ulikuwepo kweli hadi sisi wa uswazi hizi ngoma tulikuwa tunazipata!
Kwenye kuchapa mama zetu enzi hizo walikuwa hawajali unaumwa au vipi! Kuna wakati inabidi ufiche kidonda kwa kuhofia fimbo, umezurula umekatwa na chupa unajua ukionesha utachapwa kwanza ndio upate tiba.Unapona kwa muda, unacheza muziki, ukiisha ndo unakumbuka kumbe unaumwa na mlikuwa mnaenda hospital.
Yaani mama alivyorudi aliniwasha balaa, maana alipita pale akaambiwa nimecheza then nikaondoka.
...hahahahaha
..na wazee wa zamani walivyokuwa wakaksi,ukachezea na ugonjwa wako
.dadek
Kwenye kuchapa mama zetu enzi hizo walikuwa hawajali unaumwa au vipi! Kuna wakati inabidi ufiche kidonda kwa kuhofia fimbo, umezurula umekatwa na chupa unajua ukionesha utachapwa kwanza ndio upate tiba.
Nimekula mchele kitumbo na unga wa Yanga, asante Salim zilikuwaje?? Mimi uniform nimeanza kuvaa shati jeupe,kaptura ya bluu.Wewe Rrondo hivi umevaa zile Uniform za shule Ahsante Salim ???
Mnakula unga wa Yanga na mchele kitumbo....
Tanzania imetoka mbali sanaaaaa jamaniiii......
Kuna kitu ilikuwa inaitwa mtoki(kama kidonda kipo mguuni unapata uvimbe juu kabisa ya paja) hii inaambata na homa lazima ushtukiwe.Hizi za kuficha vidonda zilikuwa ni hatari sana, yaani unaweza hata ukawa umeumia sana lakini husemi mpaka kujishtuka uko hoi sana.
...hakuna mtoto wa uswazi aliekuwa anasanukia hizi ngoma,labda ajimiksi ushuani...mkuu enzi hizo ujamaa ulikuwepo kweli hadi sisi wa uswazi hizi ngoma tulikuwa tunazipata!
Yeah Crew Bado ipo.Hadi leo one of the tracks zinazotrap kichwani ni hiyo...kitambo sifuatilii music kama mwanzo... walitengana wakaungana wakatengana tena.
Still wapo?