Kwa Wale Wajuzi Wa Cement Bora

Kwa Wale Wajuzi Wa Cement Bora

Wakuu

Naomba kujua Mfuko mmoja wa Cement unatoa tofali ngapi(imara)?!

Na upande wa kuchanganya mchanga...
Utajuaji kiasi halisi ya mchanga na Cement mfk 1 ili utoe idadi uitakayo ya tofali...?!

Shukran sana
 
mfuko mmoja 45 tofali standard japo waeza toa chini ya hizo.... mfano 6" zinatoka 35 kwasababu ya size....
japo kuna wachina wanatoa tofali 20 kwa mfuko sema gharama 5" 1pc tsh 3500
 
Natarajia kupiga plaster muda wowote kuanzia sasa, wanamalizia Blundering baada ya hapo plaster inaendelea. Naomba kuelimishwa cement nyeupe inatumika wakati gani? Nakusudia plaster yangu ipigwe ile ya kuteleza kabisa na ikiwezekana wachanganye na chokaa. Naomba ushauri ndugu zangu asanteni
white cement ni kwa ajili ya kuskimia
unavyosema ya kutereza unamaanisha upige pasi baada ya kumaliza au
 
Back
Top Bottom