Kwa wale waliochaguliwa SEKOMU tukutane hapa.

GK Francis

Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
17
Reaction score
0
Kwanza nawapongeza sana kwa kuchaguliwa chuo hiki ambacho kinafanya vizuri ktk utoaji wa Shahada na Shahada ya Uzamili ktk Elimu Maalum.
KARIBUNI SANAAAA!
 
kwa kifupi mnakuomba badili kwani chuo kwanza kina ada kubwa sana, wahadhiri waliopo wengi hawana sifa, pia chuo kinaendeshwa kwa ubabe , kikabila yaani kisambaa sambaa kwa kifupi kama hata umebakiza shilingi mia you can not be allowed to sit for ue then the reality this university sio kabisa cha kusoma hakina hata profesa mmoja docta
watatu
 

duuh! Mbna mkuu GK Francis amekisifia hapo juu
 
Last edited by a moderator:
Ni Elimu inayohusika zaidi na watu wenye mahitaji maalum k.v
Wasiona,Viziwi,Speech Impairment,Mtindio wa Ubongo(cognitive disabilities)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…