Poleni ndugu zangu mliokosa mkopo hiyo ndio hali halisi ya Tanzania ila nina maswali kidogo kwenu,nani kati yenu amesoma shule za serikali toka chekechea hadi form six? kama upo na umekosa basi appeal lakini kama umechanganya na st.nani (private)sahau mkopo.
wasiwasi wangu wengi wenu mliokosa mmesoma private schools.
poleni sana wadogo zangu.
wasiwasi wangu wengi wenu mliokosa mmesoma private schools.
poleni sana wadogo zangu.