hukumbuki yale ya DECI mkuu?
Kuna ambae tayari amewekewa pesa,maana walisema wataanza kuwawekea pesa watu kwenye account zao tarehe 20/november?au ndo wamewatapeli watu bcoz ukipiga hata namba zao hazipokelewi?
Aisee selikali haiwaini hawajamaa kua waldanganya?? eti boom mpaka December??? wizi huu aisee